Ni kweli kabisa, tena si NHIF hata bima zingine pia. Huwa hawafungi mahesabu. Nilimuuliza nesi mmoja mtaani kwa nini inakuaga hivyo alinijibu hivi "...... huko ndiko tunakoponeaga". Hivyo bas, utakuta gharama zako halisi za matibabu ni 30,000 ila hiyo fomu itachezewa iandikwe hata 130,000. Kuna...
Kwamba Mwingira kafanya uhalifu kusema alitishiwa maisha?? Si anatakiwa aisaidie polisi wahalifu hao wakamatwe?
Naona mamlaka kuna kitu wanataka kukificha hapa kwa kutumia "vibaya" dola. Hili jambo na mengine yanayohusu haki na maisha ya watu sirkali haitaki ihusishwe nayo.
Kuna mambo mengi mazito watu wamepitia na wanaendelea kupitia. Nchi isiendelee kutisha waliochoka kukaa kimya, ni wajibu wao kuchunguza na ukweli ujulikane kwa watu wote. Waliohusika wote sheria ichukue mkondo wake
Moja ya waTz wakwanza kujitokeza kuipata hiyo chanjo kwa hiyari wakati ikiidhinishwa nchini niko hapa. Silishwi propaganda za kijinga za siasa mimi. Afya yangu ni ya thamani sana. Sikubali siasa za kijinga ziitawale akili yangu hata siku moja.
Kifo ni fumbo. Mungu pekee ndiye mteguaji wa hili fumbo. Lowasa 2015 walisema hauwezi urais maana ni mgonjwa àtaenda fia ikulu. Je binadamu alifanikiwa hapa? Lowasa yungalipo. Lissu je! Risasi zote zile na bado anadunda. Lakini kejeli alizopokea utadhani si binadam. Naskia baada ya kupigwa...
Poleni wafiwa. Ni wiki kama mbili hivi nilienda ofisi ya mkuu wa mkoa wa Arusha nikalikuta hilo li V8 limepaki kwenye private parking ya RAS japo yeye binafsi sikumwona. Dah kweli tulikuja bila kitu na tutaondoka bila kitu.
Kwamba chanjo nyingine ni sawa ila si hii ya korona siyo? Hii Sirikali ina nini na korona? Huko kwa wazungu ndo imewafyeka zaidi wao ndo walipaswa waanze kuzikataa.
Anyway, ndo serikali ya wanyonge tu ndo inaweza kukomba fedha kwenye akaunti ya shule ili watoto wa "wanyonge" wanaofadhiliwa washindwe kuendelea na masomo.
Kama Takukuru inajua majukumu yake, basi iichunguze NEC tubaini nani aliefoji barua ya Mnyika. Hili jambo si la kuachwa lipite hivi hivi.
Anyway najifurahisha tu, najua kitu kama hiki hakiwezi kufanyika maana wote hawa lao moja. Wanafuata amri toka juu kwa "mtukufu" ambaye ndo anakesha na...
Hivi, wangeheshimu kura zilizopigwa na Watz purukushani hizi za kijinga zingetokea? Yaani inafkia hatua tume/sirkal inaghushi ili kuhalalisha haram iwe halali!!!
"Rest in peace" my men. Dah ndo bas tena hatuwezi kurudisha siku nyuma. Mi ni shabiki wake wa kutupa. Nimeangalia nadhani 90% ya clip za mapigano yake yote. Roho yaniuma kwamba sitamwona tena "akiwaadhibu" washindani zake. Mapumziko mema.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.