Wanaume kuna ushenzi mmoja siuelewagi, kwanini kwa wake zenu mnakua wabahili sana mnakazana mtoe 50/50 ila kwa michepuko mnatoa kila kitu kizima kizima. Mnahonga magari, nyumba etc wakati huyo hawara hakulelei watoto watoto kukuhudumia ukiumwa. Mna upumbavu gani?
Na raia milioni 61 wote wawe wafanya biashara nani mteja? Hivi mnadhani biashara ni kama kupumua ee, basi kusiwe na kozi za udaktari watu waache waende kuuza vitumbua.
1. Kila mtu akifanya biashara nani atakua mteja?
2. Nlishaandika huko juu. Una uhakika gani ukifa watoto wako watakua na uelewa wa biashara yako au watagain interest ya biashara yako. Umesomesha mtoto aje kuwa pilot ukimwambia akasimamie machine za kukobolea mahindi atakuelewa?
Endeleeni na...
Wengine humu mnasema biashara sio ngumu wakati mmekuta alishakufungulia baba yako kafanya kukuachia urithi. Umekuta foundation imekaa vizuri we kazi kusugua kisigino tu Mtupishe
Wewe ni mpuuzi. Kwahiyo wanaume wote duniani wanaokataa kuhudumia watoto ni kwasababu ya mwanamke? you were born angels au sio? Pathetic creatures wote wanawaza hivi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.