Chenga ya mwili ilipigwa siku ambayo Naibu Spika alimwuliza Zitto kuhusu maendeleo ya kazi yao akasema anasubiri apangiwe siku yeyote kuwasilisha ripoti... kisha jana Spika akasema anasubiri akina Zitto wajulishe kwa maandishi kuwa wapo tayari. Danadana hiyo ilikuwa kuvuta muda watu waandae...
Wa aina hiyo hawezi kuwa mke wangu, mke anatakiwa akupe amani ya akili na moyo kamwe sio jakamoyo, anatakiwa akufunulie wewe peke yako sio wengine, atanitia majaribuni akiwa hivyo maana hiyo ni sawa na invitation to tender...watu wata-bid ati...oooohoooo!! chezea wanaume wewe wengine...
Umenena mkuu, pamoja na kwamba aliyoyasema yana kila dalili kutokea ila mzee huyu amekuwa akitumia dini kwa amanufaa binafsi na kuifurahisha nafsi yake, Yesu alisema kuwa ufalme wake si wa dunia hii mbona yeye anang'ang'ania ya dunia??
huyo ndiyo zake...simba walimshitukia wakamwacha na yanga hawakumkimbilia upesi cjui nn kiliwakuta yanga wakamchukua anauza magoli kama maandazi.... hiyo ni fitina ya waarabu, kaseja keshawauza wenzake kwa vijisenti, ndiyo maana ataishia soka la bongo tuu
Ili serikali isiwe kigeugeu, kwa kuifungia ile nyimbo ya wale waliokuwa wakijiita Ngoni Tribe, ya "Wanawake wazuri wameolewa wamebaki MANUNGAYEMBE wanahangaika" basi waifungie na hii, kwani angalau ile ilikuwa ikiwakataza wanawake kuwa wahuni. Pia ile nyimbo ya "MAMBO KWA SOKSI" ya hayati DR...
Mie kwangu hamna ukweli hata kidogo, huu ni ushirikina ukijaribu kufuatilia umetekwa na kumsahau MUUMBA WAKO...hawakawii kukwambia oohh nyota yako imechafuka inahitaji kusafishwa, mara ooohh vaa pete ya jiwe fulani, mara oohh ongeza mvuto wa biashara vaa mnyororo shingoni(mkufu??), mara njoo...
Hawa watu ni wachafu sana, nashukuru mleta uzi umenikumbusha. Wananikera jinsi wanavyojali fedha bila afya za wateja wao, ni kweli hawana mpinzani katika njia ya Mbeya - Arusha lakini angalia hoteli wanazosimamisha mabasi yao kwa ajili ya chakula kwa abiria ni zile chafu sana za Waarabu mfano...
Nimefuatilia, ni kweli kwamba huyu mtu amelazwa katika hospitali hiyo baada ya kupigwa risasi na Polisi. Alipigwa risasi eneo la Karangai wakati walipokuwa wamebeba mkaa wa magendo katika lori ambalo liliposimamishwa na polisi halikusimama, polisi walilifuatilia wakalipiga risasi matairi...
Kwanza kabisa mimi si mwanamke, pili maneno "Ufinyu wa elimu" fulani sio tusi kwani ni watu wachahe sana duniani ambao wanayoelimu ya kila nyanja, kama wewe ni daktari unaweza kuwa na ufinyu wa elimu ya uhandisi. Nashangaa jinsi ulivyotokwa na povu kwa jambo jepesi kama hili. Aidha, maelezo yako...
Ni kweli mkuu, kwa asili yetu sisi Waafrika hatukuwa tukivaa nguo hizi tunazozifahamu sasa bali ni vipande vidogo vya ngozi na magamba ya miti kwa kiasi cha kufunika kwa uchache uke na au uume tuu kwa watu wazima. Wanawake waliyaacha wazi kabisa matiti yao na halikuwa jambo la ajabu...
Kinachowasumbua ni ufinyu wa elimu kuhusu haki za binadamu na hulka zenu za kuwanyanyasa wanawake. Mwanamke hata avaeje mhalifu wa ubakaji atambaka tuu, ushahidi ni kwamba hata huko nchi ambazo wanawake hulazimika/hulazimishwa kufunika viungo vyao vyote vya mwili labda isipokuwa macho, yapo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.