Kweli?, So what happened to those lost brigades zilifeli wapi kuzilinda na Kwanini hakuna counteroffensive iliyofanya kazi hadi saa pamoja na hayo madubwana kuwa Bado ni balaa.
Kila kitu kilianza kigeni promotion ndio inayotambulisha bidhaa ,yani mtu kwasababu hajawai kutumia au kuona bidhaa fulani basi anaamini hakiwezekani huku kukutatisha watu tamaa
Siku zote gharama ya bidhaa inapangwa kulingana na upatikanaji wake, operation cost yake na packaging.
Upatikanaji wa nyanya hasa kwa msimu wa mavuno ni mwepesi na kwa bei rahis, pia package na utengenezaji wake rahis.so sidhani kama bei inaweza kuwa juu sana
Ila kumbuka mkuu hii ni value...
Biashara asili yake ni idea za vitabuni (mawazo ya watu) huwezi kusema hakuna mtu atakaye nunua tomato powder kwasababu tomatoes fresh zipo na hujawai ku practice Wala kufanya research zaidi kuwaona watu fulani wanefeli tena bila kujua Sababu nini.
Tomato inategeneza products nyingi na zote...
Viwanda na masoko vipo mkuu shida inakuja wakati wa mavuno uzalishaji unakuwa mkubwa kuliko mahitaji sasa shida inarudi kwa wakulima wanauza kwa kiwango kidogo kilicho baki wanakuwa Hawana pa kupeleka ,hivyo badala ya kudump bidhaa zilizo kosa soko basi ni Bora mkulima afenye hivi hili kuepuka...
Biashara ni pamoja na kuangalia wenzio wameshindwa wapi ,hao walifeli pengine labda kwenye masoko nadhan ukiwekwa mkakati mzuri unaweza kuvuka mbele zaidi ya waliko inshia wao.
Hapo ni wewe tu sasa kufanya marketing strategy nzuri kwasababu ni bidhaa ambayo haijazoeleka na wengi ila kwenye ubora na efficiency ni sawa tu matumizi ya nyanya za kawaida, kwahiyo hapo hautauza kitu Cha tofauti ni nyanya tu zilizo kwenye muundo wa unga.
Yani hapo ni kudeal na kitu kinaitwa...
Wenzetu masoko yao ni ya uhakika na wana technology ya kuzihifadhi yanya kwa ajili ya kutumia kipindi Cha uhaba ,kwahiyo wakulima wanazalisha kulingana hitaji la soko na ikitokea uzslishaji umekuwa mwingi basi nyanya zinahifadhiwa.
Lakini sisi huku kipindi Cha mavuo mazao Yanakuwa mengi hitaji...
Asante kwa kunielewa mkuu, Mimi sifanyi kilimo hiki ila naona jinsi wakulima wengi wanavyoteseka kwa kupoteza mazao hasa ule msimu wa nyanya unakuta tenga la linauzwa kwa ya hasara ,
Mimi pia nataka nianze kufanya hivyo , ila nakushauri anza kidogo kidogo usikilizie soko lake
Kichanja hakina gharama mkuu ukizingatia upatikanaji wa meterial ni mwepesi na bei nafuu,ni kazi ambayo unaweza kuifanya hata mwenyewe bila kumlipa mtu au kama utakosa muda wa kufanya cost yake still ni ndogo .
Labda kama hayuko interested lakini ni Njia nzuri sana ya kuongeza thaman yanya zako
Wakulima wengi wa nyanya wanapata hasara kutokana na kuzalisha nyanya ambazo zimezidi mahitaji ya soko au Sababu nyingine ni uhaba wa masoko ,Kiasi kikubwa cha nyanya zinaoza shambani au sokoni ni kwa sababu wakulima wengi hawana/hawajui jinsi ya kuhifadhi nyanya zao
Kwa utafiti wangu...
Hii inaitwa last kick of a dying horse anahangaika tu ila kuliwa kichwa kupo pale pale ,mtu yupo madarakani miaka 41 Yani kipindi anaingia uraisi macron raisi wa ufaransa alikuwa na miaka mitano
Huku mapinduzi yakizidi kuenea ukanda wa Afrika Magharibi, Rais wa Cameroon bwana Paul Biya mwenye umri mwenye miaka 90 amelifanyia mabadiliko Bunge pia amefanya mabadiliko makubwa katika Wizara ya Ulinzi.
Hivi karibuni ameteua watumishi wapya katika huduma za ndani na nje za Wizara.
Biya...
Kuna trick Moja hivi Eng Hersi inaitumia ambyo inatumika sana kwenye minada , Ukifika dukani labda la nguo ukakuta Kuna nguo A na B na wewe ukawa umevutiwa mfano na nguo A basi wewe Cha kufanya onyesha interest ya kununua nguo B.
Hapo utakuwa umefanikiwa kumuingiza chaka muuzaji atapandisha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.