Mwanangu ana miezi miwili. Lakini kuna muda anatetemeka miguu kama baridi na kunakuwa hamna baridi pia kuna wakati anageuza macho yake kiini hakionekani na kama anarembua hadi anaogopesha!
Je shida ni nini?
Na kama kuna shida tiba yake ni nini?
Au ni kawaida kwa watoto?
Jamani mimi ni yule yule nailaswry kila nachokiona kwa mwanangu nilazima niwaambie maana ndo mwanangu wa kwanz hvyo niko makini hadi naogopa.
Mwanangu anamiezi miwili ni mweupe sana lakini Masikio yake mwusi Iakuwa nini?.
Samahanini kwa kuwasumbua ni vile ndo kifungua...
Mimi na mume wangu tuna miezi minne sasa lakini mimi nimekua nikimkosea sana wala hanipigi anaishia kulia tuu na baadaye kuniambia kanisamehe.
Juzi amekuta nimechat na mwanaume kimapenzi ameniangalia tu akaanza kulia na kuniambia wala sijamkosea chochote niwe na amani kisha kesho yake anaamka...
Naitwa naila naishi kibaha. Mimi ni mama wa mtoto mmoja nimemzaa tarehe 20/05/2020 mpaka sasa mtoto wangu anakama siku 49 kama sikosei.
Lakini mpaka sasa haonyesh kama anaona maana nikimuangalia haniangalii wala nikipita kwnye uso wake hanifwati kuangalia sura hata nikimuwekea mdoli juu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.