Shida ya nyie kila mwenye magonjwa ya ngozi HIV mtu asipate infection kidogo HIV tubadilike! Ndo nyie mnaoogop kupima!! Kakitu kadogo tu kwenye mwili HIV
Chige ni vipele t ivyo sijui ni ugonjwa gani ata mi nimechukua hii picha nimweleweshe huyu chizi aliyekatwa masikio na ubongo wake ulocheza kipindi yupo mdogo haelew namwambia ma baby katoka vi rashes uson kama vya baridi alibadilisha mafuta kakazana ukimwi ukimwi wakati yemwenyewe CD 4...
Naombeni ushauri mpenzi wangu ametoka rashes fulani kama za baridi baridi anasema kuna mafuta alitumia yamemuharibu msaada wenu tafadhari ngozi yake irudi kama awali!! Nakaribisha comment mapovu ruksa!! Ila hayatajibiwa
Kutokana na matatizo mbali mbali niliyopitia mwaka wa kwanza chuo semester ya pili yamevuruga akili yangu imekuwa sio ile yenye nguvu kila kitu kwangu naona uvivu tu hadi kushika daftar Nipo mwaka wa pili semester 2 uvivu umenitawala jamani naomba counseling yoyote kama Upo tayari kunisaidia...
Hii ni kwa wanaume wanaovaa nguo za ndani wiki hawafui wakiingia mchezoni huomba kulambwa hata bila kuoga fangasi hazitatuisha wanawake mdomoni tuwe makini na hawa watu shahawa alizomwaga kwa mchepuko plus alizomwaga kwako zimeng ang ana kwenye boxer!!
Yatakukuta mambo kama yaliyonikuta Mimi nalia na ninajuta kila siku na kumwomba mungu japo tu anifikishe sehemu flani ni inbox tupeane ushauri ndugu usikurupuke
Hii sio computer kusem nikapangilia insha vizuri kama mnavyotak nyie kumbukeni sim zina uzito tofauti tofaut wakat wa kushik mkonon ivy inakufanya uwe mvivu kutyp na kufupish maneno kidole kupata moto ukityp mda mrefu pia kwaiyo vitu ni vingi jamani au unaandik vitu haraka haraka ili ufanye...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.