Kufuatia kikao cha mwafaka cha viongozi wa vyama vya CCM, CHADEMA na NCCR Mageuzi mkoani Kigoma kwenye Halmashauri ya Uvinza, muafaka huo umegoma kupatikana kufuatia kile kilichodaiwa kuwa misimamo ya vyama imekwamisha.
Akizungumza hivi punde, Mh. David Kafulila ameeleza kuwa, ikiwa mpaka...
Mgombea wa ccm aliyepinga matokeo anaitwa sazugwanko alipata kuwa naibu waziri wa kikwete. Analalamika eti alitukanwa. Sasa kama babazima unashindwa na mwanamke kwann usitukanwe? Me nadhan majaj watazingatia haki badala ya ufundi
Wadau kuna taarifa kuwa hukumu ya kesi jimbo la kasulu kupinga matokeo yaliyompa ushindi mbunge wa nccr mageuzi bi agripina buyogera itasomwa leo. Kama kuna mtu mwenye uwezo wa kutujuza kitakachokuwa kinaendelea ingekuwa vema. Pamoja kigoma bado ipo nyuma kimaendeleo sidhani enternet haijafika...
Wadau serikali kivuli duniani kote hupaswa kuonesha kiwango cha juu cha uwezo kuliko serikali. Hii ni moja ya changamoto kubwa ninaiona katika mwenendo wa mpambano kati ya baraza la jk na baraza kivuli.
Ukweli baraza la JK ni dhaifu lakini kiwango cha shadow cabinet kuonesha uwezo mbadala bado...
Sasa kama vigogo hawa wanalipwa mishahara minono kiasi hiki bado wanaiba. Kuna sababu gani kuwalipa mishahara mikubwa kama haiwaondolei tamaa ya kuiba na wala hatuoni tija ya maana itokanayo na malipo hayo manono?
Nimkakati na style ya siasa. Ukiona huwezi kuleta mabadiliko kwa maendeleo ya watu kwa hoja lakini bado unahitaji kuonekana njia pekee ya kuonekana ni crisses. Kuna watu ambao katika hali tulivu wanapungukiwa sifa za kuongoza na hivyo njia pekee ya kuhakikisha uongozi ni kuhakikisha hali ya...
Hiyo barua waliandika january. Huu ni mwezi march. Waliona pinda na makinda wanawapuuza. Wakamua kwenda mahakamani kumshitaki spika na katibu wa bunge. Kweli dr mvungi anajidhalilisha sana. Yani dr wa sheria unakuwa zezeta kiasi hiki?
Warid huo ndio ukweli kuwa cuf inakufa lakini nccr ilikufa. Kama wanapigwa na kuzomewa na kushushwa jukwwani kwenye jimbo la mh machali wanapataje mamia huku mtwara ambako hawaongozi hata kitongoji? Mmekuja kufanya manunuzi kuliko hata sisiemu. Kweli hii nccr manunuzi. Sasa hao mliowanunua leo...
Yesu alisema acha wafu wazikane. Nccr na cuf wote ni wafu tuuu. Nccr ilikuwa mkoa mmoja tu wa kigoma sasa tangu katibu mkuu ruhuza ashushwe jukwaani akihutubia kasulu mjini jimbo la mh machali mpaka leo mbatia hataki kwenda. Anaogopa yasimkute yaliyomfika katibu mkuu wake. Sasa huko mtwara kuna...
Nimesoma kwa masikitiko thread moja inayoelezea uhalali wa elimu ya mh kijana david kafulila. Niliposoma kuhusu shahada ya BBA nikastuka kwakuwa ninasoma nae pale mlimani nikiwa mwaka wa kwanza yeye akiwa anaingia mwaka wa tatu.
Kila mara nyingi nakutana nae chuoni na kwakuwa ni kiongozi...
Jamani hebu acheni mada za uzushi. Nimefungua website ya bunge hicho kilichoandikwa sicho kilichomo. Kwa mujibu wa website ya bunge inaonesha kafulila anasoma udsm mpaka sasa. Au bunge lina website zaidi ya moja?
Mbatia na ruhuza wana usongo kweli na ubunge wa kafulila naivi wao wamechapwa vibaya kawe na ngara hapa ni mpaka kieleweke. Tatizo sijasikia programmu yoyote ya siasa inayoendelea. Kila wakichomoza ni mgogoro na kafulila. Arumeru hamwendi? Au mtasema mnaunga mkono cdm kuongeza nguvu ya upinzani...
Bahati mbaya taarifa haijaweka bayana kama itakuwa ni kuhusu hoja ya kikatiba iliyofunguliwa au ile kesi ya kawaida ya kupinga taratibu za kuvuliwa uanachama
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.