Hata kama kushuka bei sio 200k kwa laptop ya 5th gen yenye SSD, 8GB RAM na 1080p display. Mimi nauza kwa bei hyo sababu nina shida na hyo hela. T430 tu za 3rd gen zinauzwa 400k+
Kama kweli unataka mzigo njoo tuongee biashara
Mm nna Thinkpad T450 ya 5th gen hapa nauza.
Lenovo Thinkpad T450
8GB RAM
240GB Fast SSD
1920x1080 Full HD Display
Intel 5th Gen i5-5300u
2.30ghz to 2.90ghz boost.
[emoji367] 3hrs Battery
Price: 390,000/=
Contact: 0738463902 / 0743527350
160GB ni 100k
180GB ni 120k
240 - 256GB ni kma 180k
512GB ni 250k kwenda juu.
Hii pia inategemea ni SSD ya aina gani. Za SATA & mSATA ndio bei hzo za PCie or m2 or Nvme zinaongezeka kdg.
Njia rahisi na ya uhakika. Download Driver Identifier (portable version) ni KB chache tu. Link: DriverIdentifier Portable is available
Kisha connect PC yako kwenye internet na scan. Ikimaliza itakuepeleka kwenye browser na utaona devices zote ambazo hazina driver. Itakupa option ya kudownload...
Ndio maana nikasema from a technical stand point it is outdated. Sio kwamba haifai kabisa. Inafaa vizuri tu.
Asynchronous programming, security & debugging methods za PHP ni outdated ukilinganisha na modern alternatives.
Lakini bado ina mengi sana ambayo ni mazuri. Kwa mfano:
1. Scalability...
Samsung firmware zinaenda kwa kitu kinaitwa CSC. Angalia CSC ya simu yako kwenye settings ndio utafute firmware hyo. Mfano kwa Tz nyingi zinakua na CSC ya AFR
PHP ina hela japo kuwa ni ya kizamani from a technical stand point.
Kuwa ya zamani haimaanishi kuwa haitumiki.
Over 80% of websites are built using PHP.
Ipo stable na framework zake kma Laravel ni stable pia na hutumika na ma company mengi sana.
Kusoma kitu kimoja haikuzuii kusoma kingine...
Unahitaji custom DA file. Nenda Hovatek forum. DA files zote zipo. Kwenye kuload DA file nenda kwanza kwenye settings za SP flashtool na utoe option ya "Check LIB DA Match"
Mara nyingi huwa watu wanapost humu kuwa wanataka kujifunza programming na hawajui waanze wapi.
Ukiwa beginner kupata resources nzuri zenye mpangilio mzuri ni mtihani kwa wengi.
Challenge inakuja pale unapotaja mtiririko mzuri wa kujifunza.
Kupata mtiririko mzuri utakao kuguide vizuri usipende...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.