Nitajie walimu masikini waliokuja kuomba msaada kwako?????Ujinga umewafanya mmekuwa na chuki za kipuuzi sana.Kosa la mtu mmoja unajulimshaje kila mtu????
Wewe utakuwa ni mgeni mkuu.
Mimi mwenyewe ninafuatilia hapa. Ila nikuambie tu kuwa wengi wanaotendewa hususani sisi wakristu huwa tunakuwaga kama na aibu fulani hivi kwenye kushuhudia. Ukitaka kuliamini hilo, angalia ule mfano wa kwenye biblia. Walitendewa kumi lakini ni mmoja tu alierudi kwa...
Mbona kama Ni white gold ambayo imenakshiwa na diamonds???Mawazo yangu ni kwamba zingekuwa ni Pete ambazo hazina thamani angezivaa,wala asingezivua aziweke kwenye kipochi
Yule Mzee aendelee tu kupumzika huko aliko maana alitufanya mazwazwa sana. Na mbaya zaidi ukihoji ni vitisho au upotezwe mazima. Ikawa ilimradi liende. Tatizo ambalo mpaka leo linanishangaza, kuna watu ambao wanamuona Magu kuwa alikuwa best President. Na hawataki kama alikosea watu wakosoe na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.