Jaman kwa anayefahamu kilipo chuo hichi hapa DSM naomba anielekeze sababu nina shida ya kutaka kufka hapo nkachukue admission letter plz plz naombeni msaada kwa hlo...
Jaman wanajamv naomba kuulza et mwanaume asipofanya mapenzi kwa muda mrefu kuna madhara yoyote anayoweza kuyapata maana kuna watu wanadai et anaweza kupoteza nguvu za kiume au zikapungua?
Hii haina tofauti na ile ya kijana mwanaume aliyeombwa ambebe mtoto wa kike kwenye daladala akawa anataka kumbaka matokeo yake akaishia jela au kwa sababu ni mwanamke ndo maana unaona sahihi assume ingekuwa kwa mwanaume na bint wa miaka 3 watu wangesemaje?
hatimae ile mvua iliyotabiriwa na TMA(mamlaka ya hali ya hewa Tanzania) yaanza kunyesha kidogo kidogo maeneo ya Gongolamboto na Mbezi hvyo wale ndugu walioamua kurudi maeneo ya Jangwani wametakiwa kuondoka haraka,... Source East Africa Radio
Nina gf ila shida ni kwamba mara nyingi huwa nikipanga appointment nae huwa analeta excuse, na pia mara nyingine nikimuandikia sms au kumpigia cm huwa anaweza asipokee cm au asijibu sms,sasa hiyo hali imedumu kwa kipindi kama cha miez 3 nikiamua kumpotezea anakaa muda na ananipigia cm na kueleza...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.