Mwisho wa dunia ni pale jua litakapo amua sio binadamu atabiri.. kwa sasa acha mwanga uangaze, maana mwanga ndo chanzo cha nishati hai nyingi sanaa duniani
Tatizo nikwamba ipo ivi
Maisha yenyewe ni umungu tosha kwaio kila kitu ni Mungu wewe mwenyewe apo kuna baadhi ya mambo huwa uamini yamekuaje kuaje but uwezi kuona maana inaitaji utulivu mkubwa kiakili
Jaribu kutuliza siku moja akili and usimuone mungu kama yule dini zinazo abudu wewe...
Nikiwazaga eti tupo juu la lijiwe linaloelea lenyewe nazidi kujua kua hatujui chochote na kutokujua kwetu ninikinaendeleaga uko angani labda ndo ponea yetu.
God is always around
Diamond anapiga sana mbususu ila afulii, kikubwa hapa nikujutambua nakutambua wakati,
Kwani Kuna WAKATI WA
kutafuta
Kutumia
Kula
Kukaa njaa
Kufa
Kuzaliwa.
Watu wengine hawajui kupangilia wakati ila adui mkubwa sana wa maendeleo ni Pombe ukishalewa you can't see clear an image...
Kwa kawaida demu akikuuliza unafanya kazi Gani Kwa mara ya kwanza huwa anataka kujua kama kipato chako kinamzidi,,na ukikutana na demu wa namna iyo wewe usimjibu kwanza mwambie kazi Yako ndo inakufanya uwe ulipo ataijua akipunguza haraka
Muandishi unaonekana ulikua fisadi Amna raia wakawaida asa asa wachini walio wengi wanaweza kubaliana na wewe
Ukiangalia mabiashara hayo mengi yaliyozinguliwa ni yaleyale yanayotumika kutakatisha pesa.
Ila sisi wajasiriamali tuliziona pesa nakujenga ndoto zikatimia.
Now Hali ngumu kuliko...
Mimi binafsi nimekuelewa sana mkuu and yu make sens,,, unajua kuna watu wanaamini sana kusu dini mpaka awakumbuki Mungu tena,
binafsi mimi pia siamini dini yoyote ila naamini Mungu yupo. na huwenda aya mabaya mengi mazuri machache ni huenda Mungu ametuacha maana atujui kuongea nae tena
jambo...
Na ndo sheria ya watu mamafia,,, uyu jamaa mlinzi wake alikamatwa na kilo 120 za madawa yakulevya,,, nyie mnaweza mkawa mnaona anaitukana kumbe yeye anatarget masoko yake ya uko bitcoin
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.