Wewe mbeba mabox kalale tu maana inaelekea hujui tension za sisasa za arusha ndio maana unaleta mzaha kusema wamemtembelea. Kutembelea gani na mabomu ya machozi? Tumiwa walao 1% ya ubongo wako kufikiria!
kauli mbiu ya waamasai wa Loliondo ni hii "Ardhi yetu ndio chama chao kwa sasa" "We don't belong to a party, our party is our land"
Maasai Women Taking Bold Stance to Protect Land Rights | African Initiatives
Kisa tu walikuwa na Millya na Tundu Lissu Loliondo ndio umeanza kuwahusisha? Kweli level ya analysis yako ni ndogo sana eti sendeka anakuita Msomi maana kila akikutana na vijana akiwa na ww anakutambulisha huyu ni msomi mwenzenu huku ukimfuata kwa nyuma badala hata utembee bega kwa bega maana...
Huna lolote wewe kibaraka wa Sendeka a.k.a Tikiti maji au endomoni orkuju. kwanza ni kibaraka wa mwarabu wa Loliondo na laana ya wamaasai wa Loliondo itampata siku sio nyingi. Nyie naona mnaanza kutapatapa baada ya kuona hali ya Sendeka 2015 ni mbaya Simanjiro na usilete umbea wako na chokochoko...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.