Kuna usemi wa kikoloni unasema " Do not wash your dirty linen in public" yaani kwa lugha ya madafu ni kuwa usifue nguo zako chafu chafu hadharani.
Sasa Mwenyezi yeye anachukua nguo chafu za mamana baba zingine zina madoa sugu alafu anajaribu kuzifua hadharani.
Hii ni hatari na nusu!!
Au anataka...
Yaani we ndugu unatakiwa uamke usingizini. Wakati katakata ya umeme intufanya mafukara, sukari, petrol, Chakula na kila kitu viko Bei juu mshenji mmoja anazurura nchi nzima akikusanya watumishi wa umma na kuvuruga huduma za jamii kwa gharama kubwa ya misafara ya magari ya serikali.
Asichojua ni...
Wewe zako umagawa. Ni rahisi sana kuhukumu kuliko kujitathmini. Alichofanya huyu ni jambo la heri.
Mirathi haigawanywi mhusika akiwa hai.
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Hivi ni sahihi saa 6 usiku nyumbà ya ibada Iko katikati ya makazi ya watu waumini wako 10 halafu wanatumia vipaza sauti kama wako uwanja wa michezo. Hii sio sawa. Sijui nichukie hatua gani kwani ukiwaambia hawasikii Wala hawajali!!
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Mtafanyaje kwa mfano!! Tunawaptintia kofia vitambaa na khanga saa hizi. Myayasahau haya yote mkeshapokea Zawadi. Mtamwona Diamond Platnums buree!!
Mtatuchagua tu!!
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Kwa maana hiyo wamezalisha ziada ya zaidi ya bilioni 170 ili ku break even then wameanza kupata faida na kilipa Kodi na gawio kwa muda mfupi huu[emoji123]
This is too god to be true!!
Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Hizi hela watafute best brains wawapeleke kwenye world class universities tuwe na wasomi wa kidunia.
Hapo tutaweza hata kulinda na kutumia vema rasilimali zetu.
Tukubali madhaifu yetu tujipangie mikakati ya kujikomboa yuweze kushondana kwa kujiamini. Majirani zetu Rwanda na Kenya, hata Uganda...
Spika wa Bunge asitokane na vyama vya siasa.
Awe huru ili asilazimike kuwa pro executive!!
Wajibu wake uwe kulilinda bunge na wananchi sio Ku rubber-stamp maamuzi ya executive!!
Kwani hii IGA inakwenda sambamba na matakwa ya nani?
Hivyo unakubali makubaliano hayako sambamba na matakwa ya Tanganyika sio?
Huu mkataba umekaa tenge /
Hautufai urejewe upya kwa maslahi ya vizazi vijavyo.
Waweke 5 yrs renewable kama walivyofanya waungwana wa Zanzibar
Sijajua kama chio chetu pale Muhas kina reserved capacity ya kupokea wanafuzi wa ziada kiasi gani.
Na Je wamesaini mkataba gani na TZ.
Sijui wamepwea hadji ya ukimbizi au ni Sheria gani ya kimataifa imetumika. Au ni mahisiano ya udugu kati ya serikali zetu.
Wakongo na Warundi waliokuwa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.