Search results

  1. Gamba la Mbu

    Usanifu wa Majengo: Kwanini ni muhimu nyumba/ Ramani kuakisi hali ya hewa ya mahali husika?

    Kuna ombwe kubwa la ufahamu katika jamii yetu hususani kwenye suala la ujenzi. Nani ni nani na anafanya nini kwenye ujenzi? Hii nitaleta mada yake siku za usoni. Twende kwenye mada! Kuna baadhi yetu nyumba zetu hugeuka makaburi wakati wa joto ila feni hugeuka mkombozi huku tukiomba Tanesco...
  2. Gamba la Mbu

    In The Loving Memory of Alphonce Mawazo

    Keep Resting in Eternal Peace Alphonce Mawazo _________________ Ni Takribani Miaka Mitano sasa na Miezi Mitano, Uliandika haya Novemba 2, 2015.. baada ya wiki 2 ukauawa!! _________________ "Nawezaje kuwa adui wa askari Polisi? Mwalimu, Nesi, askari jeshi wa ngazi ya chini! Siwezi kuwa adui yenu...
  3. Gamba la Mbu

    Uchaguzi 2020 Kiapo cha kiume cha Henry Kilewo

    "Uchaguzi huu nimeamua kutolalamika, Wahuni tutamalizana nao kihuni haitojalisha cheo alichonacho...Ili Uchaguzi uwe huru na Haki lazima kuheshimu maamuzi ya Wananchi tofauti na hapo ni Uhuni tu, ambao kwangu nikuwa muhuni zaidi ya wahuni wajinga. Mungu ni saidie. AMEN"
  4. Gamba la Mbu

    Scanned by CamScanner kwenye nyaraka za serikali

    Wakuu habarini! Binafsi nimekuwa mkereketwa sana kila nionapo nyaraka rasmi hususani ya serikali inapokuwa na maandishi haya kwa chini " Scanned by CamScanner " Huwa naona nyaraka hiyo inajitolea uthamani wake na hivyo kupunguza au kuondoa kabisa uhalali wake Wakati nafanya kazi shirika...
  5. Gamba la Mbu

    Mjadala: Ni nini Hatma ya Kijana wa Tanzania miaka 5 ijayo?

    Wakuu salaam! Agosti 12, 2020 ilikuwa ni siku ya Vijana Kimataifa. Tanzania kama ilivyo kwa Nchi zingine kote ulimwenguni iliazimisha siku hii kwa kutambua uwepo wa vijana katika ujenzi wa taifa. Kwa huzuni kubwa siku hii ya vijana imeazimishwa huku ikishuhudia vijana wengi wa Tanzania wakiwa...
  6. Gamba la Mbu

    Kukosa elimu ya darasani isiwe kichaka cha kuficha uwezo wa kufikiri

    Salaam! Imekuwa ni desturi ya Watu wengi kulalamika kuwa kukosa Elimu ya darasani kumewafanya kushindwa kufikia mafanikio fulani fulani hususani ya kiuchumi. Kwa upande wangu sioni mantiki ya kukwamishwa kuendelea kiuchumi kisa elimu ya kuta nne. Hebu kwanza tujiulize ni nini kinamfanya mtu...
Back
Top Bottom