Huko ni kuchoka kufikiri,yule mlie mshabikia kuwa ni kijana 2005 kaiweka wapi nchi,zaidi ya kuifilisi mpaka kucoz migomo kwa safari zisizo na msingi,ko na huyo mnataka akaangalie basketball marekani?Piga ua mzee yeyote atakae simama ana kura yangu,siwaamini tena vijana wenzangu,maana bado akili...
Unajua unapokea cheo ambacho mwenzio kanyang'anywa kama un akili lazima upeleleze kwa nini mwenzio kaondolewa,mkurugenzi alikuwa TIDO tu wengine hawa waganga njaa.
Mbunge la Mh. Sita lilikuwa na mvuto kwa sababu alikuwa hajali masilahi ya ccm, lakini huyu mama hana lolote, anakataa hoja ya upinzani halafu anaruhusu wabunge kuacha kujadili katiba na kuanza kumjadili Lisu, kafulila na wapenda nchi wote.
Sijajua kama mswada umepitishwa au la,maana haujajadiliwa walikuwa wanajadili kwanza cdm na tundu lisu.Hapo ndipo utakapojua kuwa majimbo yote yenye mbunge wa ccm yamefulia.Namuomba sita ampindue spika aliepo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.