Search results

  1. G

    Kashfa nzito Muhimbili

    Ajabu nini ka mawaziri wanapaki magari ya gvt kwenye bar,kwa nini ma Dr.Wasifanye uhamisho wa vifaa,nchi haina mwenyewe hii,chukua chako mapema.
  2. G

    Zitto karibu NCCR

    Huko ni kuchoka kufikiri,yule mlie mshabikia kuwa ni kijana 2005 kaiweka wapi nchi,zaidi ya kuifilisi mpaka kucoz migomo kwa safari zisizo na msingi,ko na huyo mnataka akaangalie basketball marekani?Piga ua mzee yeyote atakae simama ana kura yangu,siwaamini tena vijana wenzangu,maana bado akili...
  3. G

    Zitto karibu NCCR

    Huko ni kuchoka kufikiri bado mna imani na vijana,mnataka tena waende ktangalia basketball marekani,mliekuwa mnamsifia kuwa kijana kaiweka wapi nchi?
  4. G

    TBC aibu tupu kwa taifa

    Unajua unapokea cheo ambacho mwenzio kanyang'anywa kama un akili lazima upeleleze kwa nini mwenzio kaondolewa,mkurugenzi alikuwa TIDO tu wengine hawa waganga njaa.
  5. G

    Naombeni wasifu wa January Makamba

    Hii ni nchi ya kifalme tunarithishana tu uongozi,ucshangae we jaribu jiite tu,fulani utackia hivi we ndo mtoto wa.......Kaa hapa.
  6. G

    Waalimu Waungana na Madaktari katika Mgomo

    Haya mambo ni wagumu,jueni umuhimu wa kila taaluma ya mtu,msilete siasa kwenye roho za watu,selikari sikieni.
  7. G

    Spika ndo tatizo

    Mbunge la Mh. Sita lilikuwa na mvuto kwa sababu alikuwa hajali masilahi ya ccm, lakini huyu mama hana lolote, anakataa hoja ya upinzani halafu anaruhusu wabunge kuacha kujadili katiba na kuanza kumjadili Lisu, kafulila na wapenda nchi wote.
  8. G

    Bunge ni mhimili?

    Sijajua kama mswada umepitishwa au la,maana haujajadiliwa walikuwa wanajadili kwanza cdm na tundu lisu.Hapo ndipo utakapojua kuwa majimbo yote yenye mbunge wa ccm yamefulia.Namuomba sita ampindue spika aliepo.
Back
Top Bottom