Wakuu habari!
Katika hali isiyo ya KAWAIDA Kuna dada ambaye tunafahamiana lakini sio wapenzi kabisa, na hatujawahi kuwa wapenzi.
Huyu dada juzi amenifuata na KUJIELEZA kuwa alikuwa na mahusiano na mtu lakini hakujua kuwa ni Mme wa mtu hadi hivi karibuni ndio amejua.
Hivyo anaomba Mimi...
Kwanza nashukuru MUNGU, Kwa kutuweka hai,
Napenda kuchukua fursa hii, kuwatakia kheri, ya Christmas na mwaka mpya
finacial sevises
mshanajr
jiwejr
mawardat
Zero IQ
Moderator
Na member wengine wote,nawatakia sherehe njema!!!!!
MTAKIE KHERI MWANA JF YEYOTE UNAYEMKUBALI.
Sent from my...
Salamu wana jukwaaa!
Katika maisha yetu kuna mambo, ama visa tunakutana navyo ambavyo sio vya kawaida, kwa namna moja au nyingine vinachanya sana!
Siku moja nilimtembelea ndugu yangu huko kijijini kwetu, basi baada ya muda nikaaga nakuondoka, lakini nikiwa naondoka aliniitia kijana wake ili...
Habari natafta mashine ya kuchongea thread za bomba, inayoishia inch nne. 4"
Unaweza nielekeza duka, au kama unayo waweza kuja pm.
Mfano wa hizo mashine ni hizo pichani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.