Habari wandugu,
Mimi ni kijana mjasiria mali hapa jijini dar,kama kawaida ya wajasiria mali tunakuza mitaji kwa njia ya mikopo mbalimbali kkama nilivyojaribu kufanya mimi.
Kwa bahati mbaya sikufanikiwa kufikia lengo langu hivyo nimebaki na deni ktk taasis moja ya fedha.
Kwa kua kimfaacho mtu...
Usikariri mkuu Lutambi,shirika la posta sio ku deal na barua tu.Hayo ndio matokeo ya mawazo ya wazee wetu mpaka kupelekea hapo lilipo shirika la posta sasa.
Wanaweza kutumia mfumo wa ki electronic na shirika la posta likabaki kua ndio mratibu mkuu wa shughuli nzima.
Think globally but act...
Kama umepitia maisha ya chuo ni tatizo.Kipindi ambacho uko final year uliremba sana.Ndo kilikua kipindi muafaka cha wewe kujenga mahusiano na mume wako wa leo.Ona sasa ume burgy unahangaika.
Ni mtazamo tu lakini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.