Kwa waletamada kama huyu , ndiyo maana wakati flani tulishauri , Jf's Administration kua moja ya vigezo vya kuqualify Jf's member iwe sanjari na kupimwa akili .
Sasa tukimbilie wapi ?
Kwakua hata mimi nilituma pesa kupitia Moneygram , pesa ilichukua wiki 2 , instead of siku 1, sababu ya msingi la chelewesho nilipouliza nikaambiwa zinafanyiwa investigation kama mtumaji na mpokeaji sio Alqaeda , Alshabab ect
Allways njia ya muongo haiwi ndefu !
Umedai video (clip) zimesambaa kwenye social netwk , tuwekee basi hiyo clip basi ! Btw kuna kila dalili hapa hiko ukisemacho hakipo!
Mh . Rutta hiki ulichokieleza hapa hakiko sahihi .
Sanasana umejibu kiushabiki wa chama chako !
Ni kama majibu ya Nape .
Katika Legal Broadcastin Regulation kuhusu Rates Charges of Tv Live Coverage , hakuna kitu Distance charges .
Kinachotozwa ni Time au venue situated .
Coverage ya...
Mpende msipende CCM nawanyooshea kidole, kwamba mbinu hii ya kumonitor media kwa dhamira ya kuminya vuguvugu la UKAWA kusambaa ltawagharimu.
Tofauti kabisa na mfikiriavyo, leo Mwanza UKAWA wamefanya mkutano wa kihistoria.
TBC chombo cha Taifa, katika taarifa yake ya habari ya saa 5 usiku...
Mletamada kama pangekua na selection ya Thrade bora ya mwezi , basi hii ya kwako ningeipendekeza!
Points zako ziko openly , maudhui yanaeleweka , ukweli wa ulichokisema unaonekana !
Usiwe dissapointed na hii mijitu mipuuzi iliyoshikiwa akili .
Acha upuuzi wewe baradhuli , hapa wanaume tunazungumzia mustaqbali wa nchi .
Ukosapo cha kuandika kafanye shughuli nyingine . Wawezatumia mda wako hata kupunguza mchicha mwilini mwako , badala ya kuufuga !
Wewe mletamada wala hakuna ubishi , kwamba ndiyo una hali mbaya kuzidi chama chako unacho kidifence .
Ccm imeishiwa pumzi , wewe umeishiwa pumzi na akili .
Umepoteza wakati kuandika utumbo mrefu , usio na kichwa wala kiuno .
Both , you and your party days are numbered !
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.