NGUVU YA MATAMKO. (Neno)
Siri ya Uponyaji.
Angalizo.
Uzi huu sio wa kidini isipokuwa nitadokoa tu baadhi ya vifungu kidogo kwenye baadhi ya maandiko matakatifu kujazia jazia nyama ili nieleweke vyema.
Ukiijua siri hii hauta hangaika kamwe, utabakia tu ukiwashangaa watu wanaokimbilia kwa...
(It's true my self)
Habari wakuu,
Husikeni na mada tajwa hapo juu. Baada ya kuamka muda huu nimeona sio vibaya Ku share nanyi ndoto yangu. Najua humu Tuna wasomi na wataalamu wa mambo mbalimbali. Naomba mchango wa mawazo / maono/ Tafsiri zenu juu ya ndoto yangu hii.
Niende mmoja kwa moja...
Habari wadau?
Bila ya kupoteza wakati Naomba twende moja kwà moja kwenye mada kama inavyojieleza hapo juu.
Manabii Wa sasa Ku promote Mafuta, Maji, Chumvi, Leso (vitambaa) na Sticker (zenye picha zao Sio za Yesu) na kuhubiri Utajiri, Mali na Mafanikio Sio Injili/ Neno la Kristo, huku wakikazia...
Habari wadau?
Husika na kichwa cha habari hapo juu. Napenda niende moja kwa moja kwenye mada.
Hivi unadhani kuwa ni kwanini nyakati hizi wanaume wengi wamekumbwa na tatizo la upungufu wa nguvu za kiumee tofauti na zamani?
Yaani sasa hivi asilimia kubwa ya wanaume hasa vijana hawezi kufanya...
Habari wadau? Husikeni na kichwa cha thread apo juu. Tuliomo humu wengi wetu au baadhi yetu hatukuwa kabisa na mpango wa kujiunga rasmi na JF ijapokuwa tulikuwa hatuifahamu au tunaifahamu na tulikuwa hatuna mpango nayo isipokuwa kuna thread ulikutananayo huko google ndio ikakuleta hadi humu JF...
Kwema Wakuu?
Jamaa yangu amenipigia simu anasema amechanganyikiwa na haamini macho yake juu ya aliyoyakuta home kwake na hajui afanyeje.
Anasema alikuwa anarudi home kutoka job amemkuta mkewe na dogo, Yaani mdogo wake wa toka nitoke akiwa sebuleni wanaangalia Mkanda wa X.
Anasema alipofika...
Habari wakuu?
Nina rafiki yangu ambaye ameoa mwaka Jana. Sasa ameniomba ushauri nimeona nije niwashirikishe na nyie ili tuone jinsi ya kumshauri kijana mwenzetu. Wakati anakutana na huyo mchumba wake ambaye Sasa hivi ni mke wake, kabla ya kumuoa alimkuta anaishi yeye pamoja na mdogo wake...
Habari wakuu. Rejeeni kichwa Cha habari hapo juu. Naomba msaada wenu kwa wajuzi wa haya makitu maana Mimi nashindwa hata kuelewa.
Usiku wa kuamkia leo kwenye mida ya saa 8 kuendea saa 9 nilishtuka usingizini nikiwa kwenye ile hali ya kuwa hata kujitikisa siwez Ila nipo macho japokuwa macho...
Habari wakuu?
Husikeni na kichwa Cha habari hapo juu. Mara nyingi nimekuwa nikifuatilia thread mbalimbali zinazoielezea Lucid dreaming. Zinaelezea ya kwamba lucid dreaming ni kwaajili ya kujifurahisha tu na vilevile unaweza ukajifunza hata baadhi ya mambo kama vile kusoma vitabu, lugha za...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.