Monica nakuunga mkono hata mimi natumia na niko huko ila TUWAELIMISHE PIA KUA BIASHARA HIYO INAFAIDA GANI?NA HOW THEY CAN GET MONEY OUT OF IT waelimishe pia kuhusu marketing plan yake.....hasa wale wanaotaka extra income/ unlimited income........www.foreverliving.com
yai ni hatari yanayosemwa kuhusu muhimbili ni kweli na nimeyaona mwenyewe, MOI na wodi za wakinamama kuna roho za vifo manesi na ma dr hawawajali wagonjwa na ni wazembe maana hakuna kifungu cha kuwabana wanapofanya uzembe au KUUA KWA KUKUSUDIA. namalizia Muhimbili sio hospitali ya kwenda .....
aaa hiyo mbona ndo tabia yao hao madoctor tena nasikia msichana/mwanamke anapotakiwa kufanyiwa operation wakishamdunga ile misindano ya usingizi akishalala hua wanawabaka wanavyotaka na baada ya kumaliza mchezo wao mchafu ndo mambo mengine yanaendelea na mfano hai ninao wa dr moja jina kapuni wa...
Mi nimekupata vizuri na nawajua hawa hata hapa dar wapo..... tena viongozi na vibosile kibao wa tz ni ma free masons na kama mnakumbuka mwaka jana au mwaka juzi walisherekea siku yao na tulionyeshwa hata kwenye tv inayoongoza hapa dar, wanapofanya ibada zao ni pale karibu (nyuma) ya kempiski...
jamani ilikua siku ya jumamosi nikitokea kigamboni nakakatiza mitaa ya forodhani nikaona duka zuri la sylver nikaamua kupaki gari na kwenda kuangalia maana nilitaka kununua kitu,
nilipofika ndani ya duka kabla sijafanya chochote mwenye duka akaniambia dada kaondoe gari yako pale maana watu wa...
kwanza pole pili nakushauri uende pcb na wakupe pesa za moto na uwashikishe hao polisi wasio na haya mbele ya watu wa pcb bila wao kugundua.... wakomeshe uwezavyo na iwe mwanzo na mwisho wao...
jamani unachosema ni kweli bba ni takataka na inaaribu maadili, kwanza wahajali kipindi kile kinaangaliwa watu wa aina gani na wenye umri gani!!!! mtu huwezi uza utu wako kwa milioni 100???? wakati unaweza fanya kazi kwa bidii na ukapata pesa hizo??? matajiri wangapi wanamabilioni ya pesa na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.