Search results

  1. D

    Naomba kujuzwa hadhi ya makazi ya Mbezi Makabe

    Jiografia ya huko bado sijaishika vizuri ila nasikia unaweza kupita hiyo barabara hadi mabwepande
  2. D

    Baada ya malalamiko ya muda mrefu, hatimaye Serikali imeanza kutoa motisha kwa Walimu wa Sayansi

    Salary imeingia vipi ajira mpya mmeanza na TGTSD3? Au kwenye mkataba wenu mabadiliko yanaanza lini?
  3. D

    Baada ya malalamiko ya muda mrefu, hatimaye Serikali imeanza kutoa motisha kwa Walimu wa Sayansi

    Salary imeingia leo 25/1/2021 hakuna mabadiliko yeyote. Hizi habari ulisikia wapi?
  4. D

    Nataka nikope Tsh milioni 10 SACCOS ninunue gari. Niambie uzoefu wako ulivyokopa pesa na kununua gari

    Usimtishe, akikatwa laki 3 kwa mwezi bado anabakiwa na laki 7
  5. D

    Halmashauri ziruhusiwe zilipe watumishi wake kadri ya makusanyo kama ilivyo kwa mashirika ya umma

    Matabaka yapo tayari kwenye taasisi na mashirika ya umma na halmashauri
  6. D

    Utafiti usio rasmi: Tofauti ya Vijana wa kiume wa Kinondoni, Ilala na Temeke

    Kuna ukweli maana vijana wengi wanapenda maisha mteremko kula kulala, gym, pamba kali ila kazi ngumu hawataki
  7. D

    Utafiti usio rasmi: Tofauti ya Vijana wa kiume wa Kinondoni, Ilala na Temeke

    Celebrities wote wakubwa wanaishi kinondoni Viongozi wote wakubwa wanaishi kinondoni Kwa ufupi kinondoni ni nyumbani ilala ni ofisini
  8. D

    Utofauti wa mishahara katika Utumishi wa umma, kunavunja moyo na kusababisha watu kubeza kusoma sana

    Kati ya mkurugenzi wa NIDA na mkurugenzi wa halmashauri nani ana majukumu mengi? Halmashauri inashughulikia elimu, afya,kilimo, michezo, ardhi, takwimu na mengine mengi mbona salary yake kisoda ukilinganisha na huyo wa NIDA
  9. D

    Utofauti wa mishahara katika Utumishi wa umma, kunavunja moyo na kusababisha watu kubeza kusoma sana

    Ofisi gani wanafanya kazi kuanzia asubuhi hadi saa moja usiku bila kulipwa overtime?
  10. D

    Halmashauri ziruhusiwe zilipe watumishi wake kadri ya makusanyo kama ilivyo kwa mashirika ya umma

    Nini kifanyike kwa haya mashirika yanayojilipa vizuri sababu wao wanaingiza mapato serikalini?
  11. D

    Utofauti wa mishahara katika Utumishi wa umma, kunavunja moyo na kusababisha watu kubeza kusoma sana

    Kati ya NIDA na ILALA/KINONDONI manispaa nani anaingiza mapato mengi serikalini kwa mwaka?
  12. D

    Halmashauri ziruhusiwe zilipe watumishi wake kadri ya makusanyo kama ilivyo kwa mashirika ya umma

    Hoja yangu hapa taasisi zinazoingiza pato kubwa kwa serikali mishahara yao ni mikubwa ukilinganisha na halmashauri ila halmashauri zinazoingiza mapato makubwa bado watumishi wake wanalipwa sawa na halmashauri zinazoingiza kidogo. Kwanini?
  13. D

    Halmashauri ziruhusiwe zilipe watumishi wake kadri ya makusanyo kama ilivyo kwa mashirika ya umma

    Kama TRA, TPA, TANAPA na wengine wanajilipa vizuri kwanini hawa wa halmashauri waendelee kupiga miayo. Kama tumeamua kuachia goli tuachie kwa wote
Back
Top Bottom