Kati ya mkurugenzi wa NIDA na mkurugenzi wa halmashauri nani ana majukumu mengi?
Halmashauri inashughulikia elimu, afya,kilimo, michezo, ardhi, takwimu na mengine mengi mbona salary yake kisoda ukilinganisha na huyo wa NIDA
Hoja yangu hapa taasisi zinazoingiza pato kubwa kwa serikali mishahara yao ni mikubwa ukilinganisha na halmashauri ila halmashauri zinazoingiza mapato makubwa bado watumishi wake wanalipwa sawa na halmashauri zinazoingiza kidogo. Kwanini?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.