Wewe pamoja na wajinga wenzio ndio hamutambui kuwa kulikuwa hakuna mahakama ,kama kesi ilikatiwa rufaa kuna maajabu gani? Hiyo ndio kesi ya kwanza kukatiwa rufaa na kushinda na kwa kutojitambua kwenu mnashindwa kuwa na kumbukumbu kuwa jaji aliyeukumu nitofauti na aliyetoa ushindi ndio maana...
Hakuna dhuluma ni dhama za kila mtu mwenye uwezo achukue anachoweza kuongoza,nchi sio kama familia hasa katika nchi yenye makabila 120 majaji wakiwemo ,ndio maana kesi zote tanzania ulizokuwa tunashtakiwa kimataifa kabla jpm tulishindwa lakini baada ya yeye kuja huo ujinga ulikoma na sasa...
Nyie hamna akili kabisa watu kama walikata rufaa unashangaaje kushinda ,na kwa mtindo huu mama anaokwenda nao kuna uwezekano ata acaccia watafungua kesi kudai fidia maana katika kuwapa watu haki kuna maslahi binafsi ya watu.
Hayo mambo tulishayaacha huko zamani sasa hivi music,michezo ni biashara hivyo diamond, music unamalengo makuu matatu kuelimisha,kuburudisha na ajila sasa mtu ukichagua music kama ajila kuna ubaya gani? , wakina roma na ney wamechagua music wa uhanaharakati na kuelimisha kwani kuna ubaya...
Tundulisu si mungu wala malaika kwamba kila hoja yake iwe ya kusapotiwa na kila mtu,kama yeye alivyotembea nchi yote kuomba kura na ndivyo diamond anayo haki kuomba kura, na hoja ya kwamba analazimisha na uzalendo imetokana na baadhi ya wenye chuki na diamond kusema hawatompigia kura ndipo hao...
Weka clip aliyowalazimisha watu kupiga kura,na ndio maana nawaeleza kuwa mumedandia gari kwa mbele kigogo alitoa mtazamo wake na msimamo kuwa diamond anausapoti utawala hivyo atapiga kampeni kumpinga na kumpigia kura burna na ndipo mjadala ulipoanzia mpaka watu wakaanza kuhoji kwa nini kigogo...
Yeye aliomba kura kwa watanzania na AkumlaImisha mtu aliyewafanya chadema wadandie gari kwa mbele ni kigogo ,watanzania walio wengi hawawezizi kuwa wajinga kama chadema lialia hivi mtu anayeijua siasa utachukia fulani kuwa chadema au tlp au act, nyie wajinga muziki ni burudani uwe chadema...
Siasa za kukurupuka ndio madhara yake hayo hamjui kuwa ni haki yake kushabikia chama anachokipenda,mbona kawaida sana nyie vieleele itawaponza kwanza muziki wake na siasa wapi na wapi.
Tafuteni kiini cha hayo yote ni kigogo sasa nyie mnarukia gari kwa mbele na kigogo alieleza bayana kwamba kwa sababau anashabikia ccm sasa kumbe mnataka kila MTU awafuate nyie kwani nyie ni nani.
Hivi ni nani amewalazimisha chadema kumpigia kura diamond nyie mumerukia gari kwa mbele baada ya kumuona kigogo katoa msimamo wake, yeye ameomba kura kwa watanzania na si kwa chadema wala lisu mbwa nyie
Kwani aliwaomba chadema au ccm aliomba kura kwa watanzania waompenda nyie wapigieni kura wakina roma na ney hajawalazimisha sasa harakati za nini kwenye muziki kama tumekubaliana kuwa democrasia ni kuchagua unachoamini yeye aliamua kuchagua CCM na ney alichagua chadema lakini halakati ni hiyari...
Ukiondoa mapungufu machache nayolalamikia lakini jpm ni rais aliyeacha na kutulisha ujasiri na namna bora ya kutatua kero za watanzania on time na ameshajitengenezea kundi kubwa la watu wanaofanya kazi kwa kumuiga magufuli, wananchi kutoa kero adharani ilikuwa kitu kigeni tanzania.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.