Umeelewa lakini alichoandika Ulimwengu? Yaani baadhi yenu mkiona jina tu JPM matako hulia mbwaa! Kwa kifupi Ulimwengu anawalaamu wale wanaojitokeza sasa.kuchallenge aliyoyafanya Magu wakati walikuwa na nafasi ya kumwambia akiwa.hai. Kama anawaonya bora wakae kimya tu kwa sasa maana wanaongea...
Nimependa sana kaanalysis kako enzi hizo siasa ilikuwa tamu, huyu anasema hiki upande wa pili anajibu, sisi kazi yetu ilikuwa SAA 2.00 usiku tunajazana kwenye TV kuona tambo hizo. Jiwe alitukosea sana, acha amalizNe na Muumba huko
Kwenye hili unatuonea sisi wakristo, kwanza kumbuka hawa walikamatwa enzi za JK na Dr. Shein ambao wote no Waislam. Roho mbaya haichagui uwe Mkristo au Mwislamu, mhimu hawa masheikh watendewe haki
Binafsi nasikitika jinsi watu wanavyokuja na tafsiri hasi kuhusu kauli yaJPM. Kimsingi JPM hajakataa chanjo ila amesema tuwe nazo makini, hii maana yake nini? Pale inapobidi tufikirie kujitegemea na hiyo ni process. Hivi wazungu wataendelea kutubeba hadi lini? Hivi sisi tutaendelea kutokuwa na...
Hata kama walipewa go ahead na Mbowe, je aliwaambia wakiwa naye wapi? Chumbani au ? Ulichoandika ni takataka tu, viti maalumu vina utaratibu wake kichama hadi kikatiba, ina maana Mbowe juu ya katiba ya nchi, yaani Mbowe aliamuru Nusrat Hanje atoke jela kuna kuapishwa?
Sawa, maoni yako yaheshimiwe. Mimi ya kwangu ni kwamba hizo hatua zote zinaonesha kwamba kweli CHADEMA kuna demokrasia na walijitahidi sana kutaka hao Dada na mama zetu watendewe haki.
Uzuri wà hilo jambo limeshaisha, ila ukitaka kujua mahusiano kwenye haya mavyama ni pasua kichwa tu. Bora wawe Me ns Me, wengine jinsia moja tu wanabanduana
Lingetumika neno baadhi ya polisi, siamini polisi wote wana akili kama hizo za hao. Binafsi bado siamini kuunganisha jeshi LA polisi na ujuha wa hao wachache. Mbona maeneo mengi tu tunawaona polisi wakitenda kazi zao kwa weledi? Hao wachache naamini watachukuliwa hatua ingawa hazitatangazwa hapa
Kinachonishanhaza huku Mbeya kuanzia Chimala, Igurusi hadi Mbeya mjini kwenye majumba ya watu mabango ni ya kutafuta. Labda yalikuwa machache, nawasihi team ya kampeni iongeze mzigo huku
Wakati mwingine tuwe wakweli, kwenye ile video ya Mahela anawashauri wana CCM waweke MTU ambaye ni competent ili apambane kirahisi kushinda, sasa shida iko wapi? Kwa tafsiri yangu kwamba hata akiwa DED ni kama alikuwa anawaambia wasitegemea mtelemko Bali CCM wajiandae kwa kuweka mgombea nzuri...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.