kwanza kiukweli bado sijajua msimamo wa dada yake kuhusu uhusiano wetu lakini dada yake alikua ananisisitiza nimhimize kusoma sana mdogo wake,pili sikua na malengo ya kuunda familia nae bali ni kwa uhsiano wa kimapenzi@Willyguy
Nilikuwa na msichana mmoja niliunganishiwa na dada yake na huyo msichana,sasa siku ya kwanza kukutana siu ileile yule msichana akaniuliza nimevutiwa na yeye ama hapana mimi nikakubari nimevutiwa nae,ni kweli alikua na vitu baadhi navikubali kwake,siku mbili baada ya kuonana nikaandikiwa na yule...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.