Namfahamu huyu kijana, sio jambazi wala mwizi ni mwanafunzi wa mwaka wa tatu kozi ya Information Technology na sio wa pili kama mleta uzi alivyosema tena ni mtiifu na ni kiongozi hapo IFM, ana shughuli za kijasiriamali zinazohusiana na IT na pia anaimba muziki wa hiphop anatumia jina la...
kimiundombinu mtwara italemewa na mzigo hizo bidhaa zitasafirishwaje kutoka hapo mtwara hamna reli banndari ni ndogo na kiwanja cha ndege ni kidogo kwahiyo waboreshe miundo mbinu kwanza ndo hivyo viwanda viende huko pia ikumbukwe bila miundo mbinu imara mtwara italemewa tu kwasababu huo mradi wa...
Kimiundo mbinu mtwara haijawa tayari kwasababu kwanza kama itazalisha umemene ina maana mradi wa kilimo kanda ya kusini na mradi wa chuma mchuchuma utakuwa kwa kiasi kikubwa lakini mtwara haina reli,bandari ni ndogo na kiwanja cha ndege ni kidogo hivyo hatakama itakama gesi itabaki mtwara...
1.fanya mazoezi ya kegal
2.kula vyakula vyenye zinc kwa wingi
3.fanya mazoezi ya mwili kama mwili wako ulivyo
4kunywa chai ya tangawizi,
5. Kama nimfanysji wa ngono sana punguza unywaji wa pombe
6.kama unafanya punyeto fanya kwa kiwango kilichoshauriwa
n.b ukiwa na mboo kubwa lazima uwe...
Ya Mbagala Na Bedui Aliyekojoa
Msikitini... Ndugu zangu, Moja ya hadithi za Mtume Muhammad
S.A. W ni pale Mtume Muhammad
alipokuwa msikitini na maswahaba
wake. Mara akaingia msikitini mtu wa
kabila la Mabedui na kuanza kukojoa.
Maswahaba wa Mtume wakasimama kwa hamaki kutaka kumwadhibu...
Imagine the posiibility of stress-free
Ceremonies; it begines with you.
Serikali ilitumia Tshs 64 Bil kwa ajili ya
sherehe za mika 50 ya uhuru; sherehe
hizi walengwa walikuwa ni watanzania
wote wapatao Mil 40. kwa wastani Mtanzania mmoja ni Tshs 1600.
Siku hizi harusi ya kawaida sana yenye...
well bro pole lakini ukumbe yafuatayo
1.wanawake wa sasa hivi sio kama wa zamani, wanawake sasahivi wanauwezo wakijitatulia shida zao za kiuchumi tofauti na wale wazamani ambao wao walikuwa na utegemezi mkubwa kwa wanaume hivyo kuwafanya kiburi chao kitulie.swali;wanawake wanataka nini sasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.