we kwel NYAU! nshakwambia 'maada za WASOMI WAACHIE WASOM WAJADILI' kwani kwako unaona upumbavu coz ya ujinga wako, ILA swala la CAMERON mjinga kama wewe amelikubal 100%..., zezeta wewe!
kwahiyo unaona wao ni wajinga au walikua wanadai upumbavu! Jichunge, acha kuonge nonsenc! Hujui lolote na unaihitaji kuanza nursary xul na cjui itakuchukua muda gani ili nawe ufike UDSM ukajionee mwenyewe. Badilika la sivyo itakucost,., "Asiejua maana asiambiwe maana" wanaJF 2shakuchoka kwa...
kwa ujumla hana mashart kwan mwanzon waliambiwa ili wawekewe dhamana kila kichwa kilipiwe Tsh1,000,000, ila wanachuo 2kapinga hilo swala strogly, ingawaje wapo wachache waliolipiwa kiasi hicho na wazaz wao..,few activist hav bn suspended ila lazma wawekwe huru pind 2 bodi ya chuo itakapo kaa...
kweli umeongea k2, na watanzania wote hasa wanafunz wa vio vikuu wanaamin kua bila UDSM haki zao kapun! Penye ukwel 2ambizane, kwan kama sio mgomo wa UDSM boom lisingepanda from 5000 to 7500tsh per day. Pia sasa hiv 2nampango wa kutetea taifa kwa ujumla kwan viongoz weng wa nchi hii wanataka...
naona yanashugulikiwa kwa kasi kubwa xana kwan mpaka sasa wanafunz zaid 140 wa Udsm wameekewa BOOM. Na bado wanaendelea kuweka, wakisitisha kama kawa 2NALIANZISHA TENA
Furaha ilioje UDSM! baada ya wanafunz 41 waliokamatwa na wengine waliojikamatisha wamekutana Rev Sqre na kuwashukuru wote walioshirik mgomo barid wa kutoingia darasan kwa malengo ya kuwarudisha na kuwaweka huru wanaharakat hao waliopelekwa segerea, then kisutu! Sasa UDSM mambo swari.. Nmeamin...
wawalaumu wazazi wao kwa lip? acha upumbavu! kama huwez kuchangia mada lala! Swala la mkopo mpumbavu kama wewe analipinga lakini la David Cameron unalikubal! Jirekebishe..@mzee
Hivi ni haki mwanafunzi hana baba wala mama, mwenye division 1.8 na aliyesoma shule za kata o-level na advanc asipate mkopo? wakat huo huo watoto wa mawaziri na wabunge wapewe zaidi ya 80%.. bila kusimama na kupigania haki zetu tatafika? Je UDSM wamekosea kuandamana kwa ajili ya kuwatetea wanyonge?
Hey..!
revolutiooooooon......., for changeeeee....eeeez..!
wanaharaki hongereni kwa ujasiri wenu wa kuwatetea watoto yatima na wa wakulima waliokosa mkopo., ila naomba kujua vp kuhusu waliopelekwa gerezan? 4 xua we must stand steal az one 2 emancipate both who got NO LOAN n those hav bn arrested!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.