Search results

  1. chawa wa mama

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mambo yapo kingbet. Wana options nyingi Sana,. Jaribu kwa promo code 144716UZ
  2. chawa wa mama

    Nachukiwa na bosi wangu bila sababu

    Hiyo Hali ninl kawaida sio tu serikalini hata kwenye private institutions, muhimu 1. Usipige stori zozote na wafanyakazi wenzio, wewe uwe msikilizaji tu. 2. Usihoji masuala ya pesa kwenye vikao. 3. Mwoneshe kama hujali na huumii kwa mahusiano yenu mbaya. Japo unaumia kwa ndani. 4. Mwendee...
  3. chawa wa mama

    Ni kitu gani watu wengine huona kuwa cha kawaida ila wewe huwezi kufanya au kuwa nacho?

    1. Kuning'iniza funguo ya gari 2. Kuhudhuria sherehe. Huwa nachangia tu wife anaendaga 3. Kupiga stori na watu nisiowajua
  4. chawa wa mama

    Mama unayefungua nchi muandikie Barua Rais huyu atutembelee anamashabiki wengi Tanzania na jina tumempa

    Nadhani ana wapenzi wengi kuliko hata baadhi ya mawaziri wake. Jamaa anajua kuwakomesha western ambao sisi tunawaogopa. Yeye anawaona mashoga tu Wala ndimu.
  5. chawa wa mama

    Tetesi: Watanzania tukatae Uwanja wa KIA kupewa Oman

    Acheni chuki zenu, kwani waarabu waliwafanya Nini nyie? Waarabu sio uislamu. Ficheni chuki zenu
  6. chawa wa mama

    Wazee wa Mkataba Mwitongo ndio walishauri Nchimbi arudishwe kwenye Uongozi

    Stori za vijiwe vya kahawa. Nanyi pia gombeeni acheni wivu wa kike
  7. chawa wa mama

    Haileti picha nzuri kwa CHADEMA kutomtumia msanii Ney wa Mitego kwenye mikutano yenu

    kwani Ney ni mchaga? aalikwe na lile genge la wachaga? uko serious kweli boss?
  8. chawa wa mama

    Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC): Hatuungi mkono Mkataba wa Bandari. Sauti ya Watu ni sauti ya Mungu

    WACHA TUSEME, TANZANIA NI YETU SOTE SIO MALI YA WAKRISTO Hivi karibuni kumezuka mjadala mkali kuhusu Serikali kuingia kwenye makubaliano ya kuendesha bandari za Tanzania na kampuni ya DP World. Mjadala huu ulianza na sura ya kisiasa wakati Mwenyekiti wa Chadema Bwana Freeman Mbowe alipotoa...
  9. chawa wa mama

    Maswali yangu kwa Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC) kuhusu Tamko la Mkataba wa Bandari

    wale wavuta bangi wa TEC sio wa kuwasikiliza
  10. chawa wa mama

    Majaliwa ziarani Russia na maamuzi ya Rais Samia kuficha aibu ya kuitikia mwito wa Putin.

    unataka kuwa vuguvugu, tuamue moja, baridi au Moto
  11. chawa wa mama

    Huduma kwa wateja TANESCO kupitia namba 0748550000 ni Bomu la Nyuklia

    Hawa jamaa Ni shida, yaani kwangu maisha yangu yote umeme unakata saa 5 usiku Hadi kesho yake Tena asubuhi, ukiwapigia simu maelezo mengi bila vitendo. hamna shirika pale, Bora wangeuza TANESCO hata kwa Bei Chee waiache bandari
  12. chawa wa mama

    Sheikh Kishki amfundisha Lema Alifu kwa kijiti

    Hilo Ni kafiri sugu hawezi kukuelewa. jitu linafakamia kula kenge,mamba, nguruwe, Kobe, paka akili za mungu azitoe wapi? achana nae tu
  13. chawa wa mama

    Uzeeni mwanaume ana uhitaji wa ndoa zaidi kuliko mwanamke. Chukua hatua

    Inasaidia Nini mwili wako ukizikwa mbichi au uwe umeoza? yaani ukae na jambazi ndani kwa vile tu siku ukifa aje atoe taarifa?
  14. chawa wa mama

    Ukosoaji na suala la bandari: Namsikiliza na kuheshimu mawazo ya Tundu Lissu tu, wengine ni waoga na wachumia tumbo tu

    Huyu ndio mtu sahihi kuongea na kukosoa utawala wowote. Alimkosoa hayati John Pombe Magufuli akiwa hai, tena akiwa anaogopwa na wote kwa vitisho vyake. Licha ya watu wote kuogopa yeye alisimamia anachoamini, bila kujali woga, udini, au ukabila. Na hata ndugu yake wa eneo analotoka, ndugu...
  15. chawa wa mama

    Ukweli Mchungu: Rais Samia hupendwi na Wananchi wengi

    Hiyo ametumia kipimo kipi kujua chuki zake wote tunazo?
  16. chawa wa mama

    Mhudumu wa Afya aliyeonekana kwenye video akisafisha vyombo vya hospitali kwa njia isiyofaa asimamishwa kazi

    je Kuna miundombinu ya kuwezesha yeye kuosha kwa maji moto na kuvianika? je mna hakika hamumtoi kafara yeye ili mjiweke salama nyinyi dhidi ya kelele za wananchi?
  17. chawa wa mama

    Ufanye nini? Ili uwe katika list la miamba ya Afrika

    Sasa Kagame Ni mwamba? mpuuzi mwizi tu yule fala
Back
Top Bottom