Hiyo Hali ninl kawaida sio tu serikalini hata kwenye private institutions, muhimu
1. Usipige stori zozote na wafanyakazi wenzio, wewe uwe msikilizaji tu.
2. Usihoji masuala ya pesa kwenye vikao.
3. Mwoneshe kama hujali na huumii kwa mahusiano yenu mbaya. Japo unaumia kwa ndani.
4. Mwendee...
Nadhani ana wapenzi wengi kuliko hata baadhi ya mawaziri wake. Jamaa anajua kuwakomesha western ambao sisi tunawaogopa.
Yeye anawaona mashoga tu Wala ndimu.
WACHA TUSEME, TANZANIA NI YETU SOTE SIO MALI YA WAKRISTO
Hivi karibuni kumezuka mjadala mkali kuhusu Serikali kuingia kwenye makubaliano ya kuendesha bandari za Tanzania na kampuni ya DP World.
Mjadala huu ulianza na sura ya kisiasa wakati Mwenyekiti wa Chadema Bwana Freeman Mbowe alipotoa...
Hawa jamaa Ni shida, yaani kwangu maisha yangu yote umeme unakata saa 5 usiku Hadi kesho yake Tena asubuhi, ukiwapigia simu maelezo mengi bila vitendo. hamna shirika pale, Bora wangeuza TANESCO hata kwa Bei Chee waiache bandari
Huyu ndio mtu sahihi kuongea na kukosoa utawala wowote.
Alimkosoa hayati John Pombe Magufuli akiwa hai, tena akiwa anaogopwa na wote kwa vitisho vyake. Licha ya watu wote kuogopa yeye alisimamia anachoamini, bila kujali woga, udini, au ukabila.
Na hata ndugu yake wa eneo analotoka, ndugu...
je Kuna miundombinu ya kuwezesha yeye kuosha kwa maji moto na kuvianika? je mna hakika hamumtoi kafara yeye ili mjiweke salama nyinyi dhidi ya kelele za wananchi?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.