Mi Huwa najiuliza sana na sipati majibu Kuna watu wana chuki haswa na uislam na si vinginevyo.hawataki kuskia sauti ya waislam ikiskika kwa nini mtu usifanye mambo yako au kuleta hoja tofauti na kuzungumzia watu .kama huyu jamaa aliyoandika hii makala sijaipenda na sijui shida yake hasa ni nini...
Sasa wewe hoja yako nini sasa maana unalalama kama umelishwa pilipili embu kanusha kwa ushahidi kama walivyokuwa wanatoa wao au kamuulize babu yako kama yuko hai akueleze ukweli
Do mi huwa najiuliza mambo mengi sana ila ni maisha tuu na huyu jamaa huko kwao kuna mbunge na kuna matajiri kibao wametokea huko si wanunue hata gari ya kijiji au wajenge hispitali karibu.
siku zote hakuna anaye lalama bila sababu na kukaa kimya si kuwa wameridhika .na pia ukiona mtu anawafuatafuata watu fulani au jamii fulani jua kuna jambo ananufaika nalo au kuna maslai fulani anategemea.mwanahalisi halina nia nzuri na waislam
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.