Waberoya, Mahakama haijamkomoa Lema na CDM,lakini imeikomoa serikali ili iandae uchaguzi mdogo,ambapo hadi mie nimekomolewa kwani na mimi pia ni kati ya serikali kwa mujibu wa Abraham Lincoln. Said Mecky Sadick(Dar RC),wakati wa kampeni...
Wamakonde tatzo lenu mnaongea sana na hamfanyi mambo kwa vitendo.Frankly speaking nachelea kusema mmechelewa sana kukombolewa KIFIKRA.Wahimize nduguzo wasome kwani siku hizi Mtwara kuna influx kubwa ya wasomi Mtwara ya sasa tofauti na zamani.
Vyama vingi vya kisiasa barani Afrika vina-practice DEMO-CRAZY badala ya DEMOCRACY,ndio maana vimejaa viongozi wenye maamuzi ya KIIMLA yanayopelekea UBAKWAJI wa DEMOKRASIA.
Iko wapi haki yetu sisi Watanganyika tusioamini katika imani hizi za kimapokeo? Katu maishani mwangu sitokuja sahau nilivyonyimwa kupanga chumba kisa imani yangu ni tofauti na Mama mwenye nyumba. Kwa tendo hilo ndipo nilikuja tambua imani yangu ya...
Wakati mwingine nimekua nikitofautiana na Lema kimtazamo,hadi sasa nimeamua kubaki neutral politically as nawaona politician kama MASHETANI wasiowezi kuupinga USHETANI wao kwa kujiangamiza wenyewe.Tujaribu kupima UKWELI pasipo kujari nani kazungumza.UKWELI NI UKWELI,HATA UNGALIZUNGUMZWA NA...
Wewe ndie unaempinga peke yko,lakn sidhan kama waliokuzaa wanampinga,udini umegeuka kichaka cha kuwakosoa viongoz hasa wanapoonekana wako tofauti kiimani na nyinyi.Kukosea ni human endeavour ambayo mwanbdamu kaumbiwa.
Sioni haja ya kupinga wazo lako,kwani haki uliyonayo kikatiba ktk maoni inanifunga as hata wavivu wa kufikiri kama ww mmetambuliwa,Nyerere was and is still the BEST President.Ni matusi kumlinganisha na mkwezi n ni KOSA la jinai.
Kaka ule ulooneshwa ktk muvi ile ni uhalisia wa maisha ya watu wa kanda ya ziwa kula mapanki n c uzushi,but tulibminishwa ni kutuchafua ili kuukwepa UKWELI usiofichika.
Wasanii wetu waione changamoto hiyo kwa Waganda,I cant believe this guys are richer b'se of music,sie wabongo kubadili wanawake na kulewa umaarufu-harufu tu,
Mkapa ndio aliiba hadi Nyerere mwenyewe pia alikosa imani nae,wkt Mkapa alipoleta sera ya ubinafsishaji akaiuza NBC kwa bei ya kutupwa ndipo mgogo-nafsia ulianza kwa Nyerer kuhusu chapuo lake.Pamoja na hayo yote kutokea wakati wa utawala wake,but still he is BEST than JK
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.