Nimeona hapa kuna mentality mbili ,hoja zimejikita hapa
1. Alie ajiriwa sasa ananikuta anajua kuendesha biashara from paper work sio field.(wanadai cz biashara inaweza kulipa bila kua na kazi)
2. Wenye experience na wanao miliki biashara .(biashara haiwezi kulipa bila ya kazi)
Wasalam wandugu, nataka kununua gari kwa mtu ana kadi OG ila hana importation documents za hiyo gari. Nae kanunua kwa mtu bila hizo hati. Je, vitanizuia kua mmiliki halali wa hiyo gari?
🤣🤣🤣🤣🤣 wameficha!
Hao wananchi waache shughuli za maendeleo wakaee wakiaangalia barabara. Ntaona anaakili kama akitoa na mikataba wananchi waihakikishe.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.