Project zipo miaka yote wala hazijaanza leo, kidato cha nne/sita wanafanya project supervisor atasimamia kila hatua na mwisho kutoa alama,
inaonekana ulikuwa hujui mambo za projects sababu siku hizi waalimu wengi hawajisumbui na izo mambo yaani projects hazifanyiki ila kila mwanafunzi...
Mwanamke anayeandika
axante = asante
tantee = asante
xawa = sawa
Na mengine ya aina hiyo aise huo upuuzi siwezi kuuvumilia, imenibidi na mini niwe mpuuzi kuandika hivyo ili niwaambie.
Najua hutaki vijana waoe masingo maza mwenyewe siwezi, ila kwenye upande wa material things hizo gari used huko ulaya unataka zipelekwe wapi na vile tuko na hela za kuungaunga.
wanamkataaje wakati wewe ndo unaeoa halafu pia ujaona kabisa ikifanyika rational judgement ilitakiwa wamkubali kuliko huyo waliokuchagulia.
hukumuoa huyo ulomchagua?
wanaotoboa wana knowledge, skills na desire ya kufanya biashara. ili utoboe lazima uwenavyo vyote vitatu. Sasa unauhakika gani mtoa mada ataweza kufanya biashara mpaka aache kazi?
mwenyewe nafikiria kwenda kusoma ila sasa nawaza nafamilia tayari mke na watoto wawili, yaani nikatoe hela nilipe ada hizo hela zinaniuma, pili nikisha hitimu hicho kisomo kitanisaidia nini hapa nina miaka 31.
vyuoni wanafanya research sasa kama unajua research vile inafanywa kuna pahala hela itatumika.
sasa secondary wao wanafanya project, umeuliza project gani?
Hata mkuu wa shule hajui ni project gani mwanao labda anajua title ya project atakayofanya muulize maama yeye ndo anayechagua title...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.