Nimekubali ila nadhani njia yangu ingeleta shida kubwa sana kwa msahishaji. Kikubwa yanatakiwa kutungwa maswali ambayo hayawezi kuleta mkanganyiko, mfano maswali ya variations shule ya msingi yanatungwa kwa namna ambayo mwanafunzi akitumia njia yenye umbo kama "W" anapata jibu kitu ambacho ni...
NASHAURI kama alichokisema Lissu kuhusu mazingira ya yeye kishambuliwa ni kweli, basi wakati serikali ikisubiri apone polisi waanze upelelezi kwa kupitia alichokisema. Kwanza kuwauliza wenye mamlaka ya kuwapanga walinzi kwenye nyumba hizo " kwa nini siku hiyo hakukuwa na walinzi?"
Pili ni nani...
Nadhani viogozi wanaotakiwa ni wale wanaotekeleza majukumu yao kikamilifu bila kuangalia sanduku la kura la awamu nyingine. Kama wewe ni mwanasiasa na unatengeneza mazingira ya kushinda uchaguzi mwingine basi wewe hufai kuwa kiongozi! JITATHIMINI
Nawaza, tukiwa na wanachama 50 basi tuna kura zaidi ya 50! Wapiga kura wote wakiwa wanachama wetu basi hakuna kula ya upinzani hata moja!! Kura itakuwa ni siri yao lakini matokeo yatakuwa majuto yao kwa nini walikubali kuwa wanachama halali!!! Nawaza, nawaza nasisitiza NAWAZA!!!!
Ninashindwa kukuelewa wewe ni nani maana kila ayepost kinyume na matarajio yako unamuita mwanasiasa! Mwanasayansi kwako ni huyo anayeshukuru kwa huo utafiti kufanyika?
Hii ni nguvu ya msiba kwa jirani kama kaka yako angekuwa amepoteza maisha usingeandika hivyo. Siamini kama Watanzania tumefikia hatua ya kuwatukana wafiwa badala ya kuwapa pole!
........ So taarifa ikipokewa na PCCB na ikichunguzwa na kuwa kweli na wakajiridhisha, hapo wataiita ni USHAHIDI NA WATAIPELEKA MAHAKAMANI...!! .........
"Ushahidi ni baada ya kufanya upelelezi" Sasa mbona kuna kesi nyingi tu mahakamani lakini kila siku tunasikia upelelezi haujakamilika?
Baada ya kukuza hii picha kwa mujibu wa macho yangu
1. mapipa haya yana mifuniko ya rangi ya blue[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
2. Maji yanamwagika pembeni ya pipa namba 0, kwa hiyo mapipa haya hayawezi kujaa kamwe!
Sent using Jamii Forums mobile app
Hapa inategemea kiwango cha maji yanayoingia na kutoka! Mfano kama maji yanayoingia pipa namba 0 ni mengi zaidi kuliko yanayoingia pipa namba 1 basi namba 0 litajaa mapema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa sasa sijui mambo yako vipi lakini mwaka 2012 mimi niliongeza jina la tatu baada ya kuambiwa kwenye mkataba lazima utumie majina matatu!
1. Nilimwona karani wa mahakama ya mwanzo, akachukuwa fomu na kuijaza kadri nilivyomwelekeza kisha akanirudishia kwa ajili ya kuweka sahihi
2. Nilichukuwa...
Kujua kusoma na kuandika ni sifa ya awali kabisa hivyo hiyo haitoshi kuwa sifa pekee ya vyeo vya kisiasa. Tumesahau hata wanafunzi wa darasa la kwanza wanajua kusoma na kuandika! Maprofesa wanajua kusoma na kuandika pia!
Ushauri wangu kama kujua kusoma na kuandika ni sifa pekee kielimu...
Sipendi kutofautiana sana na mawazo yenu! Je mmewahi kujiuliza inakuwaje mtu uwezo wake mdogo lakini anashinda tuzo?
Je kupiga kura mara nyingi uwezavyo ni kipimo sahihi cha kumpata mshindi?
Je kupiga kura kwa niaba ya mwingine bila ruhusa yake ni halali?
Waungwana tubadilike matokeo halali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.