Najua kwa hakika kabisa kwamba, kupanda hadhi kwa maeneo, mfano mji kuwa manispaa na manispaa kuwa Jiji Kuna vigezo vyake.
Mfano , idadi ya watu, Pato la eneo husika, na sababu nyingine nyingi za kisiasa ambazo sijui kwa hakika zinaingiaje kwenye kupandisha eneo hadhi.
Sababu zao zinaweza kuwa...
Kuna usemi usemao" usilizunguke bomu, bali pita katikati yake mapema ili lilipuke mapema wakati huo, kukusaidia lisije kuangamiza watu wengi zaidi baadae ambao hawataliona iwapo litalipuka"
Maana ya usemi huo ni katika kusaidia kujenga dhana tu kwamba" usikwepe kushughulikia tatizo unaloliona...
Kukusaidia tu kwenye title hapo juu, Ramadhani Ng'azi siyo SACP Tena amepanda cheo karibuni Sasa ni DCP au ukipenda, Deputy commissioner of police badala ya alivyokuwa hapa nyuma kidogo " senior assistant commissioner of police" au SACP.
Mpe haki yake huyu jamaa.
Who are these UVCCM Mr syllogist? Are they constitutional law enforcers to combating of crimes, suppose there is any?
Do the powers you assume to be upon them, enshrined in any of our law books?
Let me keep my reservations, however, the real problem vests in the so called " power arrogance"...
Kuna chapisho langu Moja niliwahi kuhoji kwa Nini vijana wa CCM ni washari na Wana ujasiri uliopitiliza ( over confidence).
Kwa sababu ya yanayoendelea chini ya kapeti naomba kushauri ngazi za juu za CCM kuchunguza mienendo ya vijana wao, maana it is too much now.
Nimesema ngazi za juu kwa...
It is basically so disappointing though not practically. practically saying, it has shown how fragile humans are to matters betrayal, inconsistency, hypocrisy, and of course slaves of hand to mouth activism .
Upendo peneza and the likes of covid 19, if at all are in their own senses, have to...
Ni jambo la kushukuru Mungu kwamba, binafsi nimeishi wakati wa Marais wote walioitawala nchi hii.
Nimeanza na Mwl na Sasa Samia suluhu Hassani.
Ukweli usemwe, Jm Kikwete looks the best president this country has ever had.
Namiss, uwazi wake serikalini katika kuendesha mambo, Uungwana wake na...
Acheni kusifia watu wasio waadilifu. Uadilifu ndo usomi in action mengine ni mbwembwe tu.
Mbona msomi kashindwa kutafsiri amri ya mahakama which is so simple, kuwatoa COVID 19, bungeni?
Hatutaki usomi wa ki interest , tunataka uadilifu wa kisomi.
Kama ni kichwa hivyo, anashindwaje kutekeleza amri ya mahakama kuwatoa COVID 19 bungeni?
We want integrity oriented people, and not interest oriented , the likes of Tulia and Job Ndugai, the former speaker!
Kuna msemo wa kiingereza usemao " familiarity breeds contempt". Ukiwa na maana mazoea huleta dharau.
Ninasikitishwa sana na watu tunaowaamini na tuliowaweka mbele kama as a drive katika uendeshaji wa nchi.
Hivi Leo ukienda serikalini, mahakama na hata bungeni, hivi kweli waliopewa dhamana ya...
Sijajua kwa hakika vyombo vya habari vya Tanzania hasa televisheni na magazeti mengi Yana ugonjwa gani..
Tabia ya kukwepa kujadili mambo muhimu kwa uwazi na kuwapa watu nafasi ya kuongea na kuchambua sera , Sheria na hata mambo ya jamii ( public participation) kutaifanya nchi hii kuwa nyuma...
Jambo ambalo sijalifahamu kwa kiwango kikubwa huwa ni kwanini suala la uongozi ukitaka " madaraka" huwa ni suala la kufa na kupona kwa nchi nyingi za kiafrika.
Mtu mmoja aliwahi kuniambia kwamba siasa za kiafrika za kimadaraka huwa haziendi zaidi ya matumbo yetu, akiwa anamaanisha kwamba "...
Mungu ana ubia Gani na CCM mpaka akwambie uwaombee.
Ili iweje Sasa,wabaki madarakani au vipi?
Maana kama ni hivyo Mungu anaweza hiyo kesi kumaliza hata bilaa maombi yetu
Mathayo David Mathayo ni Phd? Au veterinary doctor? Kilichokutisha ni initial ya Dr. Mpaka kumpa PhD?
Kama ni Phd leta ushahidi hapa kabla cjaleta ushahidi wa kukuonyesha uko wrong
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.