Ni bora kuwa pekeako kuliko kuwa na mtu anayekufanya ujihisi uko pekaako, msemo huu una maana gani? Iko hivi, kwa mfano uko katika mahusiano ya kimapenzi na mtu lakini mtu huyo muda mwingi anautumia kwa mambo yake na hajali hisia zako.
Wengi tunajua kwamba ukitoa chozi au kulia itakusaidia kupunguza machungu yaliyomo ndani ya moyo wako sindioo? Ni kweli lakini ukilia kwa kutoa machozi hali hii hudhihirisha kwamba umejikatia tamaa kabisa na hauna namna nyingine ya mufanya. Leo najua kuna watu wanamatatizo mengi sana mpaka...
"Nakupenda sana mpenzi wangu" Kauli hii unaichukuliaje?
Acha leo nikuibie siri wakati unapomwambia mpenzi wako kuwa unampenda sana mpenzi wako huwa anafarijika sana hata kama anamaumivu moyoni basi maumivu yale yanayeyushwa na kauli hii.
Kwanza kabisa kauli hii mara anapoisikia ikitoka...
KUHUSU MOYO WAKO
BY: Mfalme
Moyo huwa unadunda kwa nyendo tofauti kwa hali tofauti tofauti (different Apparitional)
Hivi ndivyo mapigo ya moyo hupiga kwa vipindi tofauti.
(1) UKIWA NA HASIRA
ukiwa na hasira mapigo ya moyo hupiga taratibu sana kutokana na ghadhabu ulionayo na hasira...
HUYU HAPA MBAYA WAKO[emoji116]
Kabla ya yote ivi unamjua mbaya wako? Hapana ndiyo jibu lako la haraka haraka. Sasa kama haumjui mbaya wako hebu wacha nikujuze ili na wewe upate kumfahamu na ujue jinsi ya kumuepuka ili asikudhuru kwa namna yeyote ile.
1) NDUGU YAKO
Huwezi kuamini ndugu yako...
HIVI NDIVYO JINSI YA KUISHI KWA FURAHA BY: MFALME
Jinsi ya Kuishi Maisha Yenye Furaha
“Nitakuwa na furaha nikifunga ndoa na kupata watoto.”
“Nitakuwa na furaha nikimiliki nyumba yangu mwenyewe.”
“Nitakuwa na furaha nikipata kazi.”
“Nitakuwa na furaha nikiwa na . . .”
JE, UMEWAHI kuhisi hivyo...
Habari zenu wakuu leo nitatoa mambo muhimu ya kuzingatia katika maisha yako
1) UKARIMU.[emoji116]
ukarimu ni jambo dogo sana kwa kulitamka lakini ni jambo lenye mzizi mkubwa katika matumizi.
2)KUJALI.[emoji116]
Kujali sio lazima kuwa na pesa lakini jambo la kujali linaweza kukufanya uinuke...
KUHUSU MOYO WAKO
BY: Mfalme Hadithi
Moyo huwa unadunda kwa nyendo tofauti kwa hali tofauti tofauti (different Apparitional)
Hivi ndivyo mapigo ya moyo hupiga kwa vipindi tofauti.
(1) UKIWA NA HASIRA
ukiwa na hasira mapigo ya moyo hupiga taratibu sana kutokana na ghadhabu ulionayo na hasira...
BY Mfalme Hadithi
NINI MAANA YA HEDHI?
Hedhi (kutoka Kiarabu حيض) ni kipindi maalumu katika mzunguko wa mwanamke mwenye umri wa kuzaa. Wakati huo, ambao kwa kawaida unarudi kila baada ya mwezi mmoja hivi, yeye hutokwa na damu kwenye uke.
Maelezo ya sayansi
Sababu ya damu kutoka ni kwamba...
MSAADA KWA AJILI YA FAMILIA | KULEA WATOTO
Hebu elimika na mfalme.
Mtoto Wako Anaposema Uwongo
KIKWAZO:
Mtoto wako wa miaka mitano anacheza chumbani. Ghafla unasikia mlio. Unaingia na kumkuta amesimama kando ya chombo cha udongo kilichovunjika. Uso wake unaonyesha hatia ya kosa alilofanya...
EDWARD MORDRAKE BINADAMU MWENYE SURA MBILI ALIYEISHI KARNE YA 19
By Mfalme Mastories
NI vigumu kuamini lakini ndiyo ukweli ulivyo! Edward Mordrake ni Mwingereza mashuhuri wa karne ya 19 ambaye alijinyakulia tuzo za Nobel. Mordrake aliyetokea kwenye ukoo mashuhuri na wenye hadhi kubwa nchini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.