Endelea kuwa na Imani hiyo, endelea kuwa mwema na wala usije kutoa Siri zake wala usimuibie. Hizi familia zetu hasa mke anapokuwa mbabe maelewano Huwa yanakuwa hafifu. Watoto wa kike mara nyingi wakiingiziwa ujinga wa mama Yao mbabe Huwa ni changamoto sana sana.
Endelea kuwa mwaminifu kwake
Binadamu tuoaswa kuwa na huruma, hata jamaa alikuwa na makosa bado alipaswa ahudumiwe kulingana na afya aliyonayo. Ueledi katika majeshi yetu haya ni mdogo mno inatakiwa kifanyika reformation ya maana. Kakwambia anaenda Kenya kujifungulia kwa mchumba wake wewe unakomaa utafikiri kaua.
Huwa...
Habari wakuu,
Katika pitapita zangu nimekutana na spark plugs za vichwa vitatu na muuzaji anaona kuwa ni nzuri kuliko za kichea kimoja.
Wataalamu na wazoefu wa Mambo haya naomba kupata uzoefu wenu
Asante
Hata mie naona siyo mbaya mfano gari inatumia 12lr for 100 km 30% itakuwa inatumia 8ltr for 100km. Lbd Kama hizi hesabu siyo sawa
Pia labda Kama Kuna madhara makubwa kwenye gari inapotumika
Jamani mwenye uzoefu na hizi chip zinazochomekwa kwenye OBD2 kw ajili ya kuratibu na kupunguza ulaji wa mafuta anisidie Kama kweli zinafanya kazi
Asante
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.