[emoji1787][emoji1787]hapana mkuu ni Rungwe ila point yangu ni hiyo R nikimaanisha mother tongue ya kinyaki ni nadra sana kukuta R kama ilivyo kwa wamakonde wanatoka 'M'twara lkn wanatamka 'N'twara.
Simba iko mikononi mwa viongozi ambao ni kama walipanga kuididimiza angalia wachezaji tegemeo wa yanga simba ndio ilikuwa ya kwanza kutaka kuwasajili kilichotokea ni kama wao ndio kilikuwa kizingiti hadi kuhakikisha hawaji simba badala yake wakasajili wachezaji vituko.Je ni kweli Mo kashindwa...
Watu wa pwani ni nani?ni wale walio ukanda wa pwani na kukosa utambulisho wa lugha yao ya asili?kama sifa ya kuwa karibu na bahari je wanafanana kitabia kutoka tanga hadi mtwara?Mi neno sahihi ni waswahili.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.