Habari wadau ,naomba mnisaidie kidogo kwa wale wanaokifahamu vizuri chuo Cha uongozi wa mahakama LUSHOTO, kina ubora kiasi gani na nitakapomaliza naweza kuhudumia jamii kwa kuaminika nikawapa msaada wa kisheria??
Kuna watu walinishauri nisome foundation programme kwa mwaka mmoja Sasa siamin Kama Ni programme salama kwa malengo yangu na kuhusu NACTE pia nahisi sijakidhi vigezo kwa kozi mbalimbali
Nimemaliza kidato Cha 6 nimepata div. 4 point 18 yaani E, S kwakuwa ndoto zangu zilikuwa kuendelea na elimu ya chuo kikuu na kurudia mtihani wa kidato Cha 6 sitaki, je nikisoma foundation programme itanisaidia? Au nifanyeje ili nitimize malengo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.