Wanawake ni waigizaji wazuri Sana,km huamini angalia familia ambayo mama wa kambo anajifanya anawajari watoto wa mme wake ,fatilia nyuma ya camera au mwanaume akifa,Single maza achana nae kwa kifupi over ,km unadada yako omba ushauri kwa kumtania tu uone atakavyo tiliika maana hakuna anaemjua...
Hahaa,kweli bro nawekeza kwenye bando tu,na kufatilia pages za cypto daily kuangalia updates,fatilia pia app ya Satoshi naona Kuna updates juu coin moja ambayo ndo inamalizikia kumine this month
Project ambayo,last month imenipa pesa no Ice coin,kaangalie nilipata coin elf 13850,kipindi zimeingia kwenye wallet zilikuwa na thamani ya Dola 70 nilikuja kupata shida nikaziuza kwa Dola 90
Je! Inafaida? inatokana na bando lako tu,na project ngapi upo tayari ku mine,sim yangu sahizi...
Naona kila mtu,anacholalamikia ni ngono tu,sijaona mtu analalamikia kuhusu Mambo ya biashara au laa!
So Mimi kwa upande wangu,niliomaliza chuo nilikuwa natafuta Cha kufanya online,nikakutana na inshu ya Bitcoin kipindi hicho ilikuwa na thamani ya Dola 20k hivi
Sikuwa na uwezo wa...
Hivi vitu bhana,km unamtaji mkubwa au siku ukiwa na mtaji mkubwa,Kuna nchi moja nahisi Zambia,utapata kwa Bei nafuu Sana sema taratibu zao ndo sijui Ila Kuna bro wangu alikuwa anapiga hizo Mambo
Kazi tunayo,wasomi Kuna siku niliona tangazo la kujitolea kufundisha shule shule ya serikali masomo ya biashara kwa mwezi 200k,na km unavyojua form 1 to 4 na uhakika wa ajira badae uongo,nikasema big no
Kuingia kwenye biashara,utalia km home ni bush au Kuna nafasi home na mtu wa kueleweka fuga zako tu ukitoka uyajua pa kuanzia,Ila Mambo ya frem sijui leseni itakulamba
Achana na hizo Mambo ndugu,hakuna fixed amount of return kwenye uwekezaji wowote,Tena kuhusu cypto market usiseme,nakumbuka nilipokuwa chuo nilikutana na kampuni moja inaitwa bitclub advantage unawekeza kwa kiwango kulingana na uwezo wako,xo jamaa alieni introduce yeye aliweka palefu Mimi...
Kwa
Ushauri nenda kwenye search hapa jamii forum andika account officer ii,alafu bonyeza kila link utakutana na hints maana nimefatilia huu Uzi hamna hints za kutosha
Mi naomba experience kwa wale wa account officer ii ,ni material gani mlikiwa amnayatumia mpaka kufanikiwa kuingia oral? Maana mtihan unakuja wajamaa wamepasua balaa mpaka unasema hee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.