Wakati mwaka waisha
Mwaka huo wayoyoma, tuwache uende zake,
Wacha uende salama, ulijaa mambo yake,
Tuombacho ni uzima, tupewe baraka zake,
Wakati mwaka waisha, penzi lako haliishi.
Penzi lako haliishi, kama mwaka uishavyo,
Niseme halinichoshi, kama mwaka uchoshavyo,
Wala halikinaishi, vyovyote...
JF imekua sasa jukwaa la ndondi ambapo viongozi wa chadema wanagombana kwa maneno, kwa kuchafuana, wakidhani ku-convince opinion ya mashabiki wao jukwaa la siasa ndio tayari wananchi na taifa wamewakubali.
Viongozi wa Chadema wanatumia muda mwingi na resource za Chama kuchumia matumbo yao, then...
Jamani Asprin yuko wapi? Namtafuta sana, kuna kazi ya Taifa naona anaweza kusaidia
Nadhani wote mnafatilia soap opera ya ukaguzi wa vyama na kamati ya PAC
naona ni kama mambo yamekwama sababu maswali yanakua mengi:
1. Nani anatakiwa kukaguliwa?
2. Nani anakagua?
3. Nani hajakaguliwa
4. Kwanini...
Baada ya kusoma majibu ya Chadema katika gazeti lao nimegundua ndugu zetu wapendwa wametumia mazowea katika kuwasilisha hesabu zao kwa msajili wa vyama. Kwanza niseme wazi kua nimeridhika kua angalau wanakeep hesabu (as Zitto said), na wanahakikisha hesabu zao zinafika kwa msajili on time BUT...
Naona wengi humu (hasa watani wetu wa white blue red and black) wanashangaa kwanini leo tu ndio mwenyekiti wa PAC ameamua kukagua vyama vya siasa. Hili ni jambo la kawaida sana lenye kuimarisha uwajibikaji.
Kama Naibu Katibu mkuu huko kwenu ana majukumu yake ila kama mwenye kiti wa PAC ana...
Kutoka blog yake Inyonga, Mpanda Magharibi- Ziara Kanda ya Magharibi | Zitto na Demokrasia(hapa)
Jana nimefanya mikutano 6 katika jimbo la Mpanda Magharibi, nimepewa heshima ya utemi wa Ukonongo pale Inyonga, tumezungumza na wananchi wakulima wa tumbaku na madhila yao.
Wananchi wanadhulumiwa...
Can't stop singing this song... I love Rebelution!
"Safe And Sound"
Is this the kind of sound that you want to hear?
Is this the kind of vibe that you want to feel?
Cause I'm the type of guy that you'll never fear
You can do your thing then come near
Maybe I'm caught up in the thing that you...
Kujielewa,
Kujipenda,
Kujithamini,
Kujiamini na
Kujikubali.
Ukiwa na hizo 5K ni moja ya hatua kubwa ya mafanikio
katika kujenga a Strong Personality na utu nafsi wenye Utashi.
Huna haja ya kutambuliwa iwe kwa kutajwa ama kusifiwa
bila kujali kama ni sifa mbaya ama nzuri ili...
In one of his greatest album, Grown up and Sexy*, Baby face sang about loneliness.
From the first line to the last, he misses his ex and as most of people in such circumstances he hopes he is missed too. Yesterday I was laughing about it with Amicus Curiae. I hope he will enjoy the lyrics...
In a thread kule MMU, kuna dada amesema
she has slept with more than 120 men so far.
Huyu member kaja na post hii:
What was he trying to say? hivi kwanini hatuandiki tu kwa kiswahili?
(au tumix basi maana kiswahili chenyewe sio wote tunakiweza).
Ila na mwenye hiyo thread nilikonukuu hii hapa...
Leo nilijibu thread ya my frenemy (Friend+enemy) kwamtoro
nikatoa na nukuu ya hiki kitabu cha Steve Harvey.
Sasa nimeona sio vibaya nifikishe kitabu chote kabisa
ili wale ambao hawajakisoma but wanatamani kukisoma wakipate.
Yaliomo ni haya haya tunayo leta MMU kila siku (almost)
na bwana Harvey...
Pink is back. for those who, like me discovered her with "there you go", each new album was a new punch of adrenaline. remember hits like "comin up" and "I'm still a rock star" featuring her ex husband, to name but a few.
This time she plays it sentimental with Nate Ruess and the video clip is...
OPEN LETTER OF SUPPORT TO PRESIDENT KIKWETES WISE STATEMENT ON RWANDAS FDLRMay 30, 2013 by Rwema IT Webmaster Leave a Comment
The Rwandan dream youth backs President Kikwetes idea with fully support
Tanzanian President Jakaya Kikwete, urged the Governments in the great lakes region to work...
6 May 5 July 2013
PAN AFRICAN PARLIAMENT
VACANCIES ANNOUNCEMENT
The Pan African Parliament (PAP), an organ of the African Union, was established to ensure full participation of the peoples of Africa in governance and economic integration of the continent. PAP is currently implementing a...
Nimepokea ka sms kamenichekesha. Wizi mtupu!
"When awake you're in my thoughts, when asleep you're in my dreams.
the only place I never seem to find you is in my arms. Miss you"
Kama na wewe una ka-sms kama haka naomba ukatupie hapa nicheke mie. lol
Kila siku naleta zilizopendwa tu, ila leo nimeamka nasikiliza huu wimbo...
Ladies and Gentlemen, When I was your man by Bruno Mars
(guess jibu lake ni "a brand new me" by Keys)
Same bed, but it feels just a little bit bigger now
Our song on the radio, but it don't sound the same
When our...
Jamani huyu kaka ni ndugu yangu huku uraiani.
I mean nje ya JF na socia network tunaungugu wa kweli
Yaani baba yake na mama yangu ni kaka na dada
Kwa kiswahili tunaita binam ila mimi namwita kaka
Kila nikimwita binam anachangamka suspiciously...:twitch:
Kwa leo nipo dayshift, siwezi kukaa in...
Jamani ni pride ilioje? We are in the top 10,
and we appear 2 times in the top 100!
watani zetu wanaonekana mara kibao,
but kuna tofauti kati ya qtty na qlty baby! lol
cc Smatta et al
1 University of Cape Town
South Africa
2 University of South Africa
South Africa
3 University of...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.