Search results

  1. Mwali

    Nina milioni mbili nataka nimfungulie biashara mke wangu,je itatosha?

    Hahahaha, kuna watu wangu kadhaa nimewatuma huko, wananichumia mi nakula zangu tu
  2. Mwali

    Nina milioni mbili nataka nimfungulie biashara mke wangu,je itatosha?

    We si ulisema kazi yako kuwaongezea wanawake mtaji? Mbona unaanza kutoa theories? Kama huna sema mapema
  3. Mwali

    The reality is this...

    Umeingia kwa fujo halafu umepotea.
  4. Mwali

    Viongozi wa dini kemeeni watoto wa kike waliokwenda JKT kudhalilishwa

    AshaDii please njoo usome hii. this is what I mean when I insist that the environment must be persimisive if we want women to thrive. Most women will not volunteer for National service for as long as their particular needs are not addressed!
  5. Mwali

    Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

    Mi na Konnie hatuwezi kuchangia. Mwiko
  6. Mwali

    Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

    Lazima nimshirikishe Kongosho maana ninapo cheka nacheka nae, na nikilia yeye ndie hua na kazi ya kunifuta machozi. So yana muhusu
  7. Mwali

    Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

    nan nan... Namtaka yeye tu, ila nasikitika, nahisi yeye hana interest...
  8. Mwali

    Team ya wapiga deki mpooo!

    Mwali hazeeki. She has just been replaced by mwallu :angry: (Kaizer you're in trouble...)
  9. Mwali

    Udaku Special 2nd Edition!! Limesheheni....

    #BREAKINGNEWS : Mwali atangaza rasmi kuolewa. cc: somo wake AshaDii
  10. Mwali

    CHADEMA 2015 mteremko kama kumsukuma mlevi

    Chalinze 2014. Kwikwikwi
  11. Mwali

    Kwa wanaoaply theory za wafeminist kwenye mapenzi/ndoa tu...

    I'm fine dear. I was in Dar May-June. Nipo nipo tu, ma night shifts kibao
  12. Mwali

    Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

    Hahaha, huo ulimi wako umenifanya nicheke. Ati kingosho huyu bado eligible. Unaonaje?
  13. Mwali

    Live Streaming: Mtongozano Kiutu uzima

    Asante kwa interest ila sio wewe. Kuna mtu namvizia.
  14. Mwali

    CHADEMA 2015 mteremko kama kumsukuma mlevi

    Lakini hadi sasa bado wanachagua CCM, Yes or NO?
  15. Mwali

    Tukio lako la kusisimua ukiwa mdogo

    Hapo bold I beg to differ :nerd:
  16. Mwali

    CHADEMA 2015 mteremko kama kumsukuma mlevi

    Lakini lengo la chama chochote cha siasa si ni kuchukua dola? Sasa mkishindwa kila chaguzi inakuaje? Au ni siasa za maandamano tu?
Back
Top Bottom