Nashukuru tuko serious unasema sina akili ungalijua whom am I kama na wewe u miongoni mnaopitia mgongo wa mawaziri kama maige jiandae nasubiria majina hayo yakipita tu oral interview nitayaweka wazi yote na nitaita media ili tabia hii ikome maana hata aliyenipatia majina na mwajiriwa wa NSSF...
mimi ni mwingoni wa watu waliofanya written interview jana ila habari za uhakika toka ndani ya NSSF mawaziri wa nchi kibao wamepeleka majina ya watu wao wasidhani hii tz ya mwaka huo sasa ni zama za uwazi na ukweli.
Ninakusudia kuyaweka hadharani majina aliyoyapeleka waziri wa maliasili Maige...
Wana JF nawasalimu tena poleni na harakati za kuijanga nchi yetu ijapokuwa mafisadi wanaibomoa. Baada ya hayo naomba msaada wa location ya ofisi za Save the children Tanzania nisaidieni
Jamani mimi nawaambia sina imani na serikali hata chembe Chief Accountant wa PPF aliyepo kwa sasa ana bonge la nyumba karibia na bahari huko kijichi ndo anamalizia finishing gharama yake yakadiriwa kuwa milioni 900 jamaa anaitwa Luchunga Gambamala ukimwona utashangaa
hii habari njema unajua machafuko hayaanzi from no where tumeshuhudia nchi nyingi na ninavoona nchi hii inaelekea kutamu watu watachangamka hata kama tutapoteza maisha yetu ila watakaobaki maendeleo na adabu zitakuwepo
Mpendwa issue iko hot maandamo yanatarajiwa kesho asubuhi hawajapa mikopo yao pia wanadai uongozi wa juu wa chuo unatumia nguvu zaidi za kisaisa pia jingine marais wote wa vyuo vikuu watakutana ijumaa kujadili namna ya kuandaa mgomo wa vyuo vyote nchini kupinga utaratibu uliowekwa na serikali...
ndo tunataka mambo haya yatokee pia kuna bomu jingine kama halitalipuka december sijui kuna idadi kubwa ya vijana hawana ajira sasa mtapiga mabomu fungueni magala yote
kama mtoa mada haelewi mambo yanavoenda basi ajitahidi kusoma wazenji wanatamani hata leo muungano ufe pia hakuna upinzani huko ccm imeuua cuf ovyo sana lipumba kimya subirini 2015 kama chadema hakitashida basi heri mati pati ifutwe
We jamaa umesoma wapi au umesikia wapi watu tuko arusha hapa hakuna kesi kama hiyo hapa mahakamani unajua inaelekea we ccm jihadhari sana watu wanahasira utapotea bure
Jamani mimi siko chama chochote cha siasa ila hili ccm wanapotosha watu wananchi eleweni hawa wabunge wa ccm wanatumia muda mwingi kujipendekeza kwetu mimi nakumbuka chadema walisema wakiingia ikulu ndani ya siku mia wataanza mchakato wa katiba mpya si kuleta katiba mpya inshangaza sana wasira...
Wana JF naomba kuelezwa nimekuwa najiuliza maswali mengi bila kufikia muafaka ukifika au kuangalia ukumbi wa bunge chini kuna aina fulani ya kapeti lenye rangi za bendera ya taifa Tanzania na utaona wabunge wanakanyaga juu ya kapeti hilo naona maoni yenu wana JF
Wana JF nijulisheni angalau idadi tu ya wangapi walioitwa nichopendea JF ni kwamba kuna watu kweli wanatoa mambo ya maana but others wanatoa vitu vya uongo kabisa let us be serious kwani kujulisha habari mhimu ni vyema ukizingatia hali ngumu kwa sasa kuhusu ajira
mpendwa hakika nisemayo ni ya kweli sipo hapa JF kupoteza Muda wangu nilikuwemo ndani I hope soon nitaziweka picha zote nilizopga humo ndani kama uliwahi fika diamond jubilee ukumbi B na C ulifurika mpaka mlangoni na wakapelekwa ukumbi mwingine
Ndo tumetoka jamani nashindwa kupost picha za watu na matujio mbalimbali ila cha kushangaza msimamizi mmoja alitaka kujua mie ni nani napiga picha nikamjibu mie sina cheo wala kazi nachukua picha kwa ajili ya kumbukumbu zangu ila inatisha wapendwa sijawahi ona nina shangaa wanaoshabikia serikali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.