Kwa nchi zetu za kiafrica rais akifanya majukumu yake mnamtukuza yan kama ametupa msaada na wakat ndio kaz yake aliyoiomba, kumtukuza uyo mtu kwanin. Au wananchi hawakustahili
Mbongo ubisha kila kitu wakati mzungu mwenyewe anafanya matambiko, Nakumbuka mwaka 2016 nipo Kilimanjaro kibarua nilishuhudia wazungu wanafanya mila zao sembuse sisi kima.
Hii kitu iliwahi kumtokea ata mzee mmoja uko morogoro 2022 aliitwa jumajuma, alikuwa anazaid ya miaka 100 sometimes alikuwa anakata moto adi anapoa mwili barid mara anaamka tena ad alipofanyiwa mila ndio week tu amakata moto mazima, walimsubir masaa zaid ya 8 labda ataamka kama kawaida yake ndio...
ila kwel, kuna mwaka niliendaga morogoro kuna sehem kuna nyumba ya mganga wakawa wanapiga ngoma na mvua ikanyesha kwenye boma la uyo mganga tu tena mvua kubwa kabisa nahisi sio uchawi ilikuwa ni mambo ya kijiografia wingu kutua juu ya lile boma pekeyake, kuna wale walikuwa wakiamka asubuh...
kuna mmoja Zanzibar alimwaga ndizi za mmama mmoja alikuwa akijitafutia rizki barabaran kipindi cha Ramadhan yey kwa masifa yake akapush siniha chini na kuzikanyaga kanyaga kuharibu. mmama wa watu akabaki kulia. Aisee nilitamani ata yule kijana nimtoe uhai ila ndio vile ilikuwa ugenini. Nilitoa...
badala tuweke mkazo kwenye vitu vyenye tija maishani kama elimu kuhusu kilimo, technology, rasilimali nyingi lakin bado tumebaki mazuzu, Dini itatusaidia nin wakat wa dhiki. tazama Palestine Dini inawasaidia nin kwenye hii vita . wangewekeza kwenye technology wangejinasua japo kwa sehemu
hawa...
Ndoa zinasiri nyingi sana, Ninamarafiki zangu wawili wote ni walokore sana na wapo kwenye ndoa nahis ni zaid ya miaka 7 kila mmoja na hawana watoto ata wa nje ya ndoa.
dah sijui mambo Ndio aya aya
Mchina anapokea oda kutoka kwako, ukitaka mdosho unapata, OG unapata, na asili ya afrika ni kupenda rahisi yaan kitonga. fullstop.
ukienda ulaya made in china zipo nyingi tu ila bei zake ni zamoto na OG mno. mchina anaunda ndege ashindwe kukuundia simu oOG
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.