Hata mimi ninakumbuka sana maneno yake hayo sasa ameona nini na ninatumaini hata wanaccm wamelala ila kwa viongozi wa juu wanamlinda kwa mambo ya meno ya tembo sikutegemea kama jamaa atarudi tena kwenye uongozi ccm je wanaccm mko sawa sawa kweli sidhani kama mnakumbuka maneno ya viongozi wenu au...
Mimi nilipatwa na wasiwasi sana baada ya kusikia na kusoma habari ya nape akiwa arusha jamani watanzania mtadanywa mpaka lini na wanatuona kama watu tusiojua mambo yanavoenda hali ni mbaya sana ya maisha ya watu naamini siku mungu atakapoamua kuadhibu viongozi wa ccm mambo yote yatawekwa...
Jamani waJF naomba msaada wa majina ya applicants ktk posts za Assistant Accountant maana advert ya leo ktk mwananchi watu imewachanganya ukiingia kwenye www.nictanzania.com hakuna issue yoyote inayohusu shortlisting mwenye majina may u plz assist me maana interview next week j3
Jamani haya mambo hata nchi za wenzetu yalianza polepole ccm wamekuwa kama ndo wenye haki miliki na tz wasubirie moto utakaowaka maana hata police huwa nawashangaa sana maisha yao duni sana ila ndo wanakuwa wakwanza kupga watu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.