Mtume mwenyewe aliuleta Uislamu na kuuacha, anangomngojea alama ya Kiama (YESU) aje siku ya kiama kwaajili ya kumpa hukumu soma kitukufu chenu utajua hili, Eti mtume wa Mungu mimi mwanadamu nimuombee rehema na huruma ya ziada. Thubutuuuuu
Me naugulia hapa baada ya kukosa ajira wanadai wanavyuo wote waliosoma Bachelor of education hakuna ajira zaidi kwasababu tunatakiwa kufundisha vyuoni na nafasi hizo zimejaa Inabidi tuombe upya ajira tuandike barua wizarani. Kaazi kweli kweli
Hii nchi imejaa watu waongo watupuu
1.Jakaya Kikwete ,Ajira za Walimu zitakuwa out january 2013 leo feb 8 kimya
2.NECTA ,Matokeo ya form 4 (2012) yatakuwa out 8 feb 2013 mpaka sasa na website yao ipo suspended
3.
4.
mimi nipo udom ushahidi wa cd upo ambapo waislam wa hapa chuoni waliongea kuhusu jihadi yakuwa lazima udom iongozwe na saislamu nzkatikz kupitisha majina ya wagombea walipitishwa waislam tuuu, likagundulika uchaguzi ukaharibika uliporudiwa tena nawagombea wakiwa mchanganyiko waislamu kwa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.