Wana JF,
Kuanzia kesho Jumatatu hadi Jumatano, Tume ya Katiba itakuwa Missenyi (Kagera). Je, wananchi tupendekeze nini?
Tafadhali weka pendekezo lako ili tuweze toa maoni
Mkuu wa wilaya ya misenyi,Kanali mstaafu Isa Njiku,amechanganyikiwa baada ya kuitisha mkutano na wananchi wa kata Kyaka na kuwachimba ni kwanini waliichagua Chadema ktk kijiji cha bulfani mwezi uliopita,na kuwaeleza kuwa wamefanya kosa kubwa kutoichagua CCM,baada ya maelezo hyo wananchi walianza...
Habari wanaJF,NI TAKRIBANI CKU MBILI ZIMEPITA TANGU RAIS JK AFANYE MABADILIKO YA BARAZA LA MAWAZIRI,LAKINI BAADA YA KUFANYA MABADILIKO HAYO MAONI MBALIMBALI YAMETOLEWA NA WATU WA AINA TOFAUTI(wasomi,wanasiasa n.k) WAKILALAMIKIA MFUMO ULIOPO HAU2FAI& NDIO UNALETA MATTZO YOTE HAYA na KUBADILISHA...
Jamani chadema njooni kagera hususan misenyi jimbo liko wazi,mbna mnaishia mwz&arusha.DR.SLAA UMESAHAU KM BUKOBA ULIPATA KURA ZAIDI YA JK?MORE THAN 50%
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.