🤣🤣😂 Mbona unamsema mama yako mzazi vibaya kwa kupewa mimba na baba yako muombe radhi mama yako wewe kwa kuja kumuumbua huku JF 🤭🤭 nikuambie kitu ukiandika haya mambo uwe unamfikiria na kumuweka mbele mama yako mzazi, shangazi, mkeo, bibi, dada na hata Binti yako wa kumzaa hao ni wanawake
Kama ulikuwepo umemjibu swafi kabisa mtu kabla hujaja humu fanya ka utafiti kidogo angalia ratio ya askari kwa raia jiografia ya nchi n.k kha Rwanda na Tz wapi na wapi
Hatuwezi kukubishia kwakuwa unauzoefu aidha uliona mama yako akimfanyia hivyo baba yako au shangazi akimfanyia mjomba dada yako akimfanyia hivyo shemeji au Binti yako kwa mumewe. unapo comment vitu humu kumbuka hao wnawake ni sehemu ya maisha yako kabla hujaangalia wanawake wa jf au kwa jirani
Jamani yamekuwa hayo Tena si tumesema Tume ya Tanzania ijifunze kwenye Tume ya Kenya wako vizuri. Role model wanavuana nguo Tena hahaaaa mlikuwa mnasifu mwali mliyemkuta kwenye sherehe kapaka make up kuamka asubuhi toba
Nilikuwa nasubiri kusikia waislam wakifika ofisini hawawashi AC hawaletewi chai supu chapati ila wanakula mhogo na mbogamboga nilikuwa nangoja kusikia waislam hawaendeshi magari kwenda ofisini wakati wenzao wanatembea kwa miguu kwenda ofisini hahaa mwambie Dr aje na utafiti mwingine huu bado sana
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.