Habari zenu wana JamiiForums naona majina ya watu wanaoitwa kwenye usaili wa anwani za makazi ni wengi sana kuna mtu kapata hii kazi bila kusaidiwa vilevile kwa mtu anaetaka kupata connection inabidi mtu wake wa karibu awe na wazifa gani serikarini.
Salaam,
Mimi ni kijana wa kiume mwenye Umri wa Miaka 25. Mwaka huu 2021 nimehitimu Bachelor of science in production and opertion managment chuo kikuu Mzumbe, lengo la thread hii ni kuomba nafasi ya internship or volunteering opportunity (paid or unpaid), katika kampuni yoyote ya Manufacturing...
BMW x5 fully loaded expat leaving
Description:
2014 model BMW X5 auto
Mileage: 26k
Engine: 2.0 diesel
Unregistered
Location: Masaki
Fully loaded with keyless entry and start
Electric tow bar
All duties taxes paid
Price: 85m
Contact: 0767579770
Nauliza kazi kwenye any private school O level au A level. Nina uwezo mkubwa wa kufundisha biology japo nahold degree nyingine. Nafanya kazi eneo lolote na nipo tayari kwa any interview.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.