Ndugu zangu, milingo hawezi kumpa uaskofu padre Nkwela, ukishauri hilo ni sawa tu na kusema kuwa kakobe ampe uaskofu Nkwela kitu ambacho hakiwezekani kabisa. Kumbuka kuwa Nkwela ametengwa na Kanisa lkn yeye bado asasisitiza mafundisho ya kanisa, milingo ametengwa na kanisa na yeye kaachana...
Katika mambo ya kiimani ni dhambi kubwa kumhukumu binadamu mwenzako bila kuwa na uhakika na kile unachokisema, watu wanawahukumu wakatoliki kuwa waabudu mashetani bila kujua kiundani imani ya kikatoliki, hao ni sawa na wale waliomhukumu Yesu kuwa anatoa pepo kwa nguvu za belzebuli, shetani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.