Ukipata pesa iwe ni deal au umelipwa mahali au mshahara umeingia tafadhali usiitumie iache hadi kesho, mfano mshahara umeingia tarehe 23 ww usiende bank kuwithdraw au usifanye simbanking vumilia hadi tarehe 24 then Fanya matumizi unavypopenda yaani utaona unaspend na pesa haiishi na unaona value...
Wasanii wa bongofleva usiwaamini hata kidogo, huyo mmakonde hana uwezo wa kumnunulia kajala Range, hyo gari alipewa na tajiri mmoja kino mwenye yard ya magari amsaidie kumtafutia wateja.
Makolo genta. Charming,charismatic, fela sijui fela kuti au mkubwa fela kumbe unaakili sana, hlo uliloongea ndo asili ya mtz og, ss ni watu wa zima moto na wala so watu wa mipango, nafikiri kuwa na makabila zaidi ya 125 zimechangia manake tuna mila na tamaduni zaidi ya 100 ukiongeza na uswahili...
Yule kachezewa mchezo uhuruto ni kopo na mfuniko, handshake ilikua janja ya Uhuru kumpunguza makelele atawale bila shida, hustller atashinda second round
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.