Search results

  1. B

    Ni kweli Serikali ina mpango wa kukuza na kueneza lugha ya Kiswahili?

    Kwenye vyombo vya habari viongozi mbalimbali wamekua wakisifia kiswahili yakua sasa kinafundishwa nchi za mbalimbali marekani hata uchina. Ona hapa kwenye tangazo la ajira la tamisemi kiingereza ndo kimepewa kipaumbele kiswahili hata kidogo
  2. B

    Naomba kujuzwa shule ya kidato cha tano na sita yenye academy

    Wadau sina mengi ila naomba kujuzwa shule ya kidato cha tano inayo fundisha mchezo wa mpira wa miguu
  3. B

    Kwenu Wizara ya Elimu na Tamisemi

    Lengo la Serikali ni kusaidia wananchi wake kwa makundi mbalimbali na serikali yenyewe ndo nyinyi katika idara za Elimu. Naomba mlitupie macho swala la uhamisho wa mwanafunzi wa sekondari na yeye aweze kuwa huru kwenye kuhama shule kutoka shule ya private na kuingia shule ya serikalini. Kama...
  4. B

    Serikali inajikosesha mapato yenyewe kwenye huduma za maji na umeme.

    Ili liko wako wazi wala situmii nguvu sana kudadavua. Nyumba nyingi kwenye miji na majiji hazina umeme wala maji hata kama huduma iyo imefika eneo hilo na ukiongea na mtu mmoja mmoja izo huduma anazihitaji isipokua ile hela ya mkupuo inakua mtihani kwake. Serikali inakwama wapi kumpelekea...
  5. B

    Waziri Bashungwa alipotoshwa au aliona orodha kabla ya kutangaza?

    Kigezo cha umri wa mwombaji na kigezo cha mwaka wa kuhitimu kwenye PDF aloitoa anaona kiko Sawa? 2015 kaachwa na 2021 kachukuliwa. Mathematics kuwa arts subjects? Wale watu wa TAMISEMI huwa wanatuona hamna kitu kichwani? Mnakatisha hamu vijana kusoma makusudi ili watoto wenu waendelea kula...
  6. B

    MWAUWASA wako baridi wako moto?

    Habari wanajanvi, Mimi ufanya shughuli zangu za umechinga japo ni msomi mwenye shahada ya ualimu. Shughuli yangu unifanya kuzunguka huku na kule nikitafuta riziki ni zaidi ya miaka mitatu sasa sijawahi kuona mamlaka ya maji Mwanza wakipeleka maji maeneo mapya ambapo wananchi wamejega kwa wingi...
  7. B

    Msaada: Jinsi ya kubadili picha kitambulisho cha taifa NIDA

    Wadau wakati napiga picha miaka iyo ilopita nilikua na karangi keusi sasa nimekunywa maji mengi kama Rey kigosi nimekua na karangi keupe, ukitazama picha ile na sasa utakataa sio mimi, vipi upo uwezekano wa kubadili picha nida?
  8. B

    Ni wakati wa Bodi ya Mkopo Elimu ya Juu (HESLB) kubadilika

    Nafahamu mpaka sasa upangaji wa mkopo kwa wanafunzi unasuasua japo mnaeleza pesa mnayo bil 570 wanafunzi nusu ya zaidi ya waliomba hawajui hatma yao (mnachelewa). Kupanda na kushuka katika maisha ni jambo la kawaida kwa mfano familia ya mzee kiyoyozi miaka 20 nyuma ilikua nakipato kizuri na...
  9. B

    Kodi anayolipa Mtanzania inamrejea kwa njia ipi? Inatosha?

    Leo ninapenda kueleweshwa hili la kodi tunazo lipa. Huduma kama vile - : Maji tunalipia Umeme tunalipia Elimu tunalipia Hospitali tunalipia barabara tunalipia Mtanzania anapata wapi Asante ya kodi yake na Masamaki, mamisitu, mazahabu, maalmasi, maserengeti ngorongoro
  10. B

    Ikiwa leo ni hukumu ya Mbowe na wenzake, anatukumbusha mwandishi huyu wa 1980

    The trial Finally, The judge will take his place And the accused, The complainant And the onlookers: All will know where to be - and Justice will be meted out Even before the trial.
  11. B

    Uhuru Kenyatta taswira ya Rais wa Afrika

    Binafsi upenda kumuangalia sana Kenyatta na kupata wazo kuna aja ya kuwapa uongozi damu ya wapigania uhuru. Uhuru Kenyatta anatakiwa kuwa kitabu shule na vikaoni tumsome. Utu Demokrasia Haki na usawa Vitu hivi vitatu kwa Africa ni changamoto isipokua Kenya kwa Kenyatta.
  12. B

    Ajira za utendaji wa mtaa/vijiji, ni kweli Tanzania inathamini elimu?

    Nimefuatilia sana posti za ajira za utendaji wa mtaa au vijiji sijawahi kuona wakiunganisha kigezo cha shahada kwenye sifa za kazi hiyo na nyingine 50 zimetangazwa wilaya ya Ilemela wanahitaji astashahada tu Naona kusoma sana sasa hakuna maana Tanzania enzi za mwl Nyerere alithamini sana wasomi...
  13. B

    Rais Samia ni mtu mzuri

    Ni ukweli usio pingika kuwa Samia ni mtu mzuri ukiyatazama haya:- Ni mwenye heshima na anajiheshimu mwenyewe mfano utumia kauli za staha, Uongozi ni mzuri zaidi ya mmoja analizingatia ilo mfano amewaagiza viongozi kuwajibika. Anaheshimu sheria na anazifuata mfano ameagiza mara kadhaa polisi...
  14. B

    Kuiga na kuendeleza matendo ya Hayati Dkt. Magufuli, itasadifu?

    Nifahamuvyo mimi kila zama na kitabu chake Kinachoendelea nchini kutoka jeshi la polisi na wanasiasa waliojificha nyuma yao kwa kuwabana wapinzani wao katika siasa ni kutaka kuendeleza ya hayati lakini nawaza kwa sauti itawezekana? Hayati Dkt. Magufuli ni yeye tu kuwa kama yeye ni kuiga na...
  15. B

    Tanzania ianzishe vyuo vya wanawake tu ili kupunguza mimba kwa wanafunzi

    Watoto sasa wanamaliza kidato cha 4 na kidato cha 5 wakiwa na umri mdogo ni vyema serikali ikaanzisha vyuo vya wanawake hapa nchini. Hii itapunguza mimba za utotoni kuna wakati vyuo mimba zina zidi dah
  16. B

    Gazeti la Mwafrika 1959

    Itokee sasa gazeti lichapishe maudhui yanayofanana na haya itakuaje? Bado eti kunawatu wanasema wazungu ni watu wabaya.
  17. B

    Ajira portal Utumishi unaweza kudelete sehemu yoyote ulipokosea lakini kipengele cha education qualifications No!

    Shida nini utumishi mbona sehemu nyingine delete ipo isipokua kwenye academic. Ukikosea kidogo tu unapoteza sifa za kuomba kazi uipendayo badilisheni mtu awe huru.
  18. B

    Agizo la mikusanyio la RC Mwanza lakwama mechi ya Pamba fc vs coastal Union au lilikuwa la kibaguzi

    Alizuia mikusanyiko ili kuwalinda wananchi na covid na amefanikiwa kuzuia mkutano wa Chadema ambao usingezidi watu 200 lakini kaachia mechi la Pamba vs coastal watu walijaa hatari.
  19. B

    Tanzania: Wananchi wapo kidigital, katiba iko kianalogia

    Ifike mahali tujadili uhalali wa kundi kubwa la wasiolipa Kodi yeyote ..halafu hao hao ndo wako mbele kuongeza Kodi kwa wananchi...kwanza hawa nao walipe Kodi kabla hawajaongeza Kodi yeyote ile.. Hii ni orodha ya wasio lipa kodi Tanzania.. 1. Rais wa Tanzania 2. Makamu wa Rais 3. Waziri Mkuu...
  20. B

    “Someni sayansi, someni sayansi”; mnatania au mko serious?

    Ngazi za msingi na Sekondari sawa ngazi za vyuo mpango upo au ? Mie naona kama ndoto za watoto kusoma wanachokipenda zinachezewa
Back
Top Bottom